Ali Kiba Fans' Special Thread...

naona instagram...cabosnoopy mzee wa prakatumba akililia colabo na alikiba...
 
naona instagram...cabosnoopy mzee wa prakatumba akililia colabo na alikiba...

Ungetuletea japo ka screen shot bwana, maneno matupu hayanogi!
Hata hivyo asante kwa habari maana si haba.
 
ngoma na wizkidayo lini hiyo...naisi kama bonge la supprise hivi linakuja...and i cant wait

Ndio hivyo mambo ya Kiba hua hapendi kuanika mambo yake.
Ipo siku watu watashinda ndani week na JF watakua wanaingia kama guests kutokana na mabalaa atakayoyafanya King.
 
Ndio hivyo mambo ya Kiba hua hapendi kuanika mambo yake.
Ipo siku watu watashinda ndani week na JF watakua wanaingia kama guests kutokana na mabalaa atakayoyafanya King.

Khaakhaaakhaaa hatar hatari
 
Na itokeeee, tunaisubiri kwa hamu sana.

Tetesi zinasema ni video 2...moja kolabo matata....daaahvitu anavyovifanya chini ya kapeti ni vikubwa sana mpk watu wake wa karibu wanashindwa kuvumilia wanajikuta wameongea kutokana na matusi ya insta...
 
Tetesi zinasema ni video 2...moja kolabo matata....daaahvitu anavyovifanya chini ya kapeti ni vikubwa sana mpk watu wake wa karibu wanashindwa kuvumilia wanajikuta wameongea kutokana na matusi ya insta...

Hahahahaaa.....can't wait kwakweli.
 
Tetesi zinasema ni video 2...moja kolabo matata....daaahvitu anavyovifanya chini ya kapeti ni vikubwa sana mpk watu wake wa karibu wanashindwa kuvumilia wanajikuta wameongea kutokana na matusi ya insta...

Aisee itakuwa ni hatar sana, maana jirani zetu kule kelele nyingi zimezidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…