Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mhhhhhhh! Kazi ipo hapo.Mimi siwezi date na mwanaume mwenye mambo ya kiswahili hata siku moja.
Hivi kama anaandika hivi mitandaoni huko ndani si itakua ni mwendo wa kuchambana tu?

Hahahaaaa! Uwiiii kanti imagini zati intaneshino thing, duuuh mtu na mumewe wanachambana!!!
 
Mhhhhhhh! Kazi ipo hapo.Mimi siwezi date na mwanaume mwenye mambo ya kiswahili hata siku moja.
Hivi kama anaandika hivi mitandaoni huko ndani si itakua ni mwendo wa kuchambana tu?

Au janaume mbeya mbeya na kiropo kama le matakoz...
 

Ha ha ha....
Uwiii
 
Wewe tena mpenzi? Ndio maana nawapenda sana Kiba Fans wenzangu.Hata tukosane vipi hatugombani hadharani tunavumiliana kama ndugu.
Mmeifanya JF kuwa sehemu salama ya kuishi.
♥♥♥ Kiba Fans ♡♡♡

Pamoja sana mamy...yaani sisi zinaiva haswa yaani.
Mimi pia najipraud kuwa fan wa alikiba afu nikakutana na nyie ma fans wa ukweli..
Together tunawakilisha.
 
Jamani nyie watu mmenivunja mbavu zangu.
yaani nipo kwenye dala dala ni mwendo wa kuangua vicheko..
 
Jamani nyie watu mmenivunja mbavu zangu.
yaani nipo kwenye dala dala ni mwendo wa kuangua vicheko..

Hahahahahaa hatariiii.Kiba fans wananipa raha sana aisee, sio wewe tu leo nimecheka hadi kichwa kinaniuma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…