Hahahahahaaa leo nina raha sana.Haijapita hata wiki tayari ndimu zimewarudia wao.
Tuwapigie kura Sauti Soul jamani, vijana watutoe kimasomaso E.A.
Achana na huyo taahira anayehangaika kuniquote mara kibaaao.Halafu analoongelea ni tofauti na nililoongelea mimi sasa ujue watu wana utofauti katika uelewa.
Ananiletea hadi akina WizKid ambao mimi hata sijawaongelea katika post yangu.Si kuchanganyikiwa huko?
Hahahahaaa ukiona hivyo ujue sindano imeingia hadi kwenye mfupa.
Achana na huyo taahira anayehangaika kuniquote mara kibaaao.Halafu analoongelea ni tofauti na nililoongelea mimi sasa ujue watu wana utofauti katika uelewa.
Ananiletea hadi akina WizKid ambao mimi hata sijawaongelea katika post yangu.Si kuchanganyikiwa huko?
Hahahahaaa ukiona hivyo ujue sindano imeingia hadi kwenye mfupa.
Haya matusi na tambo zenu mwaka huu hamtaona tuzo, labda ktma kidogo. BET ndo hiyooo imewapita, hahha mna hasiraaaaaaaa. Mlikuwa mkimdanganya sana domo ohhhhhhhh wewe ni wa kimataifa achana na ktma thubutuuuuu hahhahah
Sorry cute b hii msg ilikuwa inaenda kwa kendric, naona kavurugwaaa
This is my real i.d pussy this me ryt here no fake i.d hapa kwanza vp mchana umekula au ndo pasi ndefu hadi ucku l.o.l halafu kapige mswaki ndo uje kubishana na mie
Afu mumy huyu mtu nimegundua kaja na hii id coz of you maana kule ulimwita kiazi mbatata na kaja kwa ajili ya kukukomesha....ila ni mjinga kwa sababu anapambana na mtu indirect na ni dalili ya woga
Asante kwa kuliona hilo.Na huu ni udhaifu mkubwa sana kwa mtu anayejiita mwanaume.
Nilidhani ni wanawake tu wanaofungua ID mpya kuwakomesha wabaya wao kumbe ni hadi wanaume? Ndio maana huwa nawaambia kila siku wanaume wameisha jamani! Waliobaki ni wachache tu!
Sasa anadhani ataniweza sasa? Mimi nilishampa vyake na hua sicheleweshi maana simuogopi mtu tena kiazi kama yeye.Bora angekua smart kidogo angenipa shida.
Hahahahahhaahhahaahahaha
Jana alijibaraguza kuwapongeza sauti sol hahahha najua imemuuma sana na bado dogo mpaka aache dharau, hajui kuwa ulimi uliponza kichwa! Unaweza kuwa muimbaji mzur lakin watu wakakudiss tu, tukimweleza ukweli aache, mashabiki maandaz wanatuona wachawi, sasa yanatokea
Hahahahahaaa hii siku ya leo ni nzuri sana kwangu.Ooh hakuna wa kunishusha kama mnadhani mkininyima hizo tuzo zenu mtanishusha.
Haya huko BET tena vipi? Ni nani anayemshusha huko? Jamani haya mambo sio kuyachukulia kwa pupa tu na kulewa sifa, busara ni kitu cha muhimu sana.
Haya jamani tuungane E.A nzima tuwapigie kura Sauti Soul maana wenzetu walitusapoti sana kwa Idriss kule BBA.Ndio wakati wetu sasa kuwalipa wenzetu fadhila.
Umeongea kweli tupu sifa zikizidi ni hatari kuongea hizo kauli zake na dharau wakati bado ana safari ndefu kimziki na kuongeza zaidi mafanikio. Sasa yeye ni team yake hata watu wakitoa tu ushauri ni hater wanamwonea wivu. Bora Sauti Soul wawakilishe EA this time kwa kweli kura inabidi tuwapigie warudi na tuzo.
Afu mumy huyu mtu nimegundua kaja na hii id coz of you maana kule ulimwita kiazi mbatata na kaja kwa ajili ya kukukomesha....ila ni mjinga kwa sababu anapambana na mtu indirect na ni dalili ya woga
Manina zako
Upogo wapi jamani ..huyu changu.doa ana tukera humuu
Ha ha ha!
Hivi ulikuaga wapi kipindi chote we mtuuu
Wajua kunipa raha.
Ujue Diva Beyonce wakati mwingine tunatoa ushauri tu kiroho safi jamani domo apunguze sifa hataki kusikia.Na wapambe/mashabiki wake wanazidi kumpoteza.
Huyu kijana kalewa sifa sana, kwa hatua aliyofikia anaona kama kamaliza kumbe ndio kwanza anaanza.
Halafu eti anajisifu yuko kwenye game kwa miaka mitano sasa kwahiyo hakuna asilolijua! Kweli? Wako wapi wasanii wakubwa kama R.Kelly ambao hivi sasa ni tia maji tia maji katika mziki? Ana nini cha kumzidi R.Kelly?
Nipooo unajua domo kachanganyikiwa sana mana juzi nilionyeshwa huko instagram katuma video inaonyesha jamaa kaingia chumvini kwa mwanamke kisha akaibuka na yale mambo mekundu. Dahh! Akaandika ujumbe kuwa " haya ndiyo tunayokutana nayo wanaume tunaopiga deki" watu wakaripot hiyo video kwa isntagram management kuwa ni inapropriate video, basi naskia akaja kuitoa, ukiona hiyo video lazima utapike na ni udhalilishaji mkubwa kwa wanawake. Jamaa boya sana
Nipooo unajua domo kachanganyikiwa sana mana juzi nilionyeshwa huko instagram katuma video inaonyesha jamaa kaingia chumvini kwa mwanamke kisha akaibuka na yale mambo mekundu. Dahh! Akaandika ujumbe kuwa " haya ndiyo tunayokutana nayo wanaume tunaopiga deki" watu wakaripot hiyo video kwa isntagram management kuwa ni inapropriate video, basi naskia akaja kuitoa, ukiona hiyo video lazima utapike na ni udhalilishaji mkubwa kwa wanawake. Jamaa boya sana
Hahahaaa nipogo mamy
Ujue huyu mshezi nakosaga cha kumjibu pale anapo ni quote nashikwa na nyongo adi sijui natamani nimjibuje yaani.....