Ali Kiba Fans' Special Thread...

napenda kuwashauri wasanii wengine igeni mfano wa KING KIBA tungeni nyimbo kali kama za kiba, shoo kali kama za kiba.kupiga pamba kama kiba, kujipenda kama kiba, hili mpendwe kama kiba. hongera sana KING KIBA kaka yao. wataelewa tu

Hivi kwenu Cinderella ndiyo inafika leo enhhe? Huyo unayemtaja alishazikwa kwenye gemu kitambo sana. Siku hizi kuna kijana anaitwa Diamond wa Platinumz anakimbiza vibaya mno. Africa mashariki kawamaliza sasa hivi anamalizana na Nigeria. Kijana video yake mpya inatazamwa na mashabiki laki moja kwa siku. Hadi sasa video yenye wiki moja YouTube ishatazamwa na watu laki saba. Tuambie huyo Kiba wako ni yupi?
 


Jamani eeh,tuacheni basi na King Kiba wetu hata kama ni wa mwaka 1945 ndio tunampenda hivyo hivyo. Kwani nyie kinawauma nini au mnapungukiwa na nini sisi tukimpenda na kumsifia?
Mnaandika magazeti marefu kama mnalipwa kisa Kiba! Kama hawapi presha hofu ya nini?
TUACHENI NA KIBA WETU NYIE BAKIENI NA HAO WENU!
Tena lukelo sakafu mtu asikutishe leta habari za King kadri utakavyokua unazipata.
 
Last edited by a moderator:
Si ushabiki ila mi sielewagi hizi nyimbo sijui kaimba nani, labda nifah anisaidie
Kitorondo maana yake ni?
 
Last edited by a moderator:
Si ushabiki ila mi sielewagi hizi nyimbo sijui kaimba nani, labda nifah anisaidie
Kitorondo maana yake ni?

Hata mimi hicho kitorondo sijui maana yake,na wala sijawahi kujiuliza ni kitu gani.
 
Last edited by a moderator:
tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa watanzania kwa moyo wa ushirikiano mliouonesha dhidi ya kijana wenu mpendwa KING KIBA mpaka kufikia peak ya mafanikio ya juu zaidi ya wasanii wengine hapa bongo,pia kwa wote waliofurika pale DAR LIVE siku ya pasaka na kumfanya mfalme afunike hatari. tunasema shukrani sana na mungu awabariki..ASANTENI
 
ukiwa na public relation officer wa hivi hali itakuwa ngumu sana.

be specific mafanikio gani zaidi ya nani

walifurika watu wangapi

n.k

tusiendekeze masuala ya teams na kuwalemaza wasanii kwa visifa uchwara.
 
He did a good job and the place was full beyond maximum
 
ukiwa na public relation officer wa hivi hali itakuwa ngumu sana.

be specific mafanikio gani zaidi ya nani

walifurika watu wangapi

n.k

tusiendekeze masuala ya teams na kuwalemaza wasanii kwa visifa uchwara.

lakini unamkubali kijana?
 
Shukrani zangu za dhati zikufikie pia lukelo sakafu kwa kazi hii nzito unayoifanya hapa JF.Bado una moyo ule ule wa kupost bila kujali shutuma na kejeli unazozipokea kutoka kwa wapuuzi fulani.
Keep it up!
 
Last edited by a moderator:
Majukumu uyatoe wapi we mteja.. Kuwa muwaz MB 8 zimekunyoosha kudadeki.

Kama unatumia airtel kama mimi piga *148*88# ok utapata Mb 800 kwa shilling elfu moja tu tena ni monthly bundle

Umaskini umeathiri akili zenu mpaka mna chuki bila sababu, kama mpaka leo unawaza kuhusu bundle basi Mungu akubariki akutowe kwenye ufukara uliopitiliza na nakuahidi kukumbuka katika maombi na wewe ubarikiwe kama Mungu anavyonibariki mimi na kazi za mikono yangu.

Anza kuuchukia umaskini kuanzia leo maana ndio unaosababisha chuki, Mungu akianza kukubariki hizi roho za kishetani zitaondoka zenyewe.
 

Amiiiinaaaaa!
 

Jamani hawa huwa wanameza videsa mummy? Kaah hata waongee uchi ndo tushamshabikia ivo, hawataki wakatushtaki kwa IGP!
Hatuwezi kufanana Tunampenda kikongwe wetu anayewajambisha!
Sijui wamekula maharagwe ya wapiii hawaa! (In Gwajima's voice)
 
Last edited by a moderator:

Teh teh teh MB8 nouma sana mpaka bwana kiwelu umepotea jamvini... saivi unasugua benchi mpaka cheche zinatoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…