Ali Kiba Fans' Special Thread...


nifah mimi nadhani wanampa changamoto tu kwamba star kama yeye anatakiwa kutengeneza vitu vyenye viwango.
 
Mwenzake kaonyesha bafu la magold na flat screen ndani, mwambieni king naye tuone lake

Fanya udadisi ujue watu wa karibu wa king kiba hapa mjini ni kina nani ndo utajua kwanini yupo vile alivyo. ..halafu jiulize mbona game aliipa mgongo lakini hakuchoka. ..hao wasanii uwajuao wajipe break au wakose show uone balaa lake. ..
 
atoto mpenzi, I miss you.Please come this way.
 
Last edited by a moderator:
aaah wapi kabla ya hapo nilishamfumania MMU anachepuka

Uwiiiiii! Kwahiyo kuchepuka kwenu sio kosa eeh?
Ila bora wewe umechepuka ndotoni...lol atoto akija nitakoma!
 
Last edited by a moderator:
Uwiiiiii! Kwahiyo kuchepuka kwenu sio kosa eeh?
Ila bora wewe umechepuka ndotoni...lol atoto akija nitakoma!
ndoto haizuiliki,pakuanzia ni hapo kwake,sijui kama huu uchumba wetu utaendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…