Tokea juzi najionea maajabu huku JF.Midume mizima bila aibu inakaa inashangilia nyumba ya mwanaume mwenzao ambayo hawajui kaipataje.Ni mwendawazimu pekee atakayeamini kua nyumba zile zinatokana na mapato yake kimuziki.
Mwanaume unakaa kushangilia nyumba ya mwanaume mwenzio? Bora kusifia kidogo inaleta maana.
This is shame!
Fanya udadisi ujue watu wa karibu wa king kiba hapa mjini ni kina nani ndo utajua kwanini yupo vile alivyo. ..halafu jiulize mbona game aliipa mgongo lakini hakuchoka. ..hao wasanii uwajuao wajipe break au wakose show uone balaa lake. ..