Ali Kiba Fans' Special Thread...


Hakika Muuza Sura umeifanya wiki yangu ianze vizuri sana kwa habari hii nzito na ya ukweli.
Can't wait.........
 
mziki ni kama chakula mkuu....kama wewe unaona magimbi matamu kuliko mishaki ya samaki ya kawe beach mimi siwezi kukulazimisha uone mishakaki mitamu kuliko magimbi...!!!sasa kama wewe ngoma mpya ya kiba unaiona ya kawaida sidhan kama unajua mziki mzuri ni upi!.......!!!ila kwa kukusaidia kama wewe ni mtu wa mziki au unajuana na watu wa mziki hususani ma dj,waulize sasa hivi ngoma gani inaongoza kwa kuombwa redioni ipigwe!au kama clubs waulize ma dj ngoma gani wakipiga dancing floor inatapika na viti vinabaki wazi au ngoma gani inawaongezea offer za bia ma dj......hapo sijakuhesabia ngoma imetoka lini na tour kaanza lini lakini watu wanaijua utasema ya kitambo
 

They know not, poor them
 
Yaani leo jioni yangu maridhawaaaa kwa nyimbo za the super king, najihisi princess, wapi nifah mimi mithi wewe, mpe hi Ms.Lincoln

I miss you more darling. Zimefika bila shaka....
Wewe unajiona princess leo? Mimi zamaani. Na kwa msisitizo nikisikiliza nafumba macho kabisa...lol
 
Last edited by a moderator:
I miss you more darling. Zimefika bila shaka....
Wewe unajiona princess leo? Mimi zamaani. Na kwa msisitizo nikisikiliza nafumba macho kabisa...lol

Aaah kweli king anajua kutuweza, ndio raha ya kuwa ufalmeni, mambo burudaniiii roho kwatuuuu 😀
 
Eti nini? Hizo nchi za Rwanda, Congo n.k ni macho yangu au? Juzikati hapo kuna wajinga walianzisha thread eti King Kiba ni 'underground' coz anafanya show za ndani...
Kumbe King kajipanga kufanya yake...
Pop it in. ...

Kwahiyo ukifanya show ndani ya nchi yako we ni underground?

Mi napita kama upepo kwenye thread zilizoandikwa na watu wanaohitaji mind liberation
 
Hahahaaa, abou umenichekesha sana.Kweli kuna watu wanaudhi sana usipokua makini utakula ban kila wakati.
Nilichoka nikawaacha tu wajifariji kwa ujinga wao.
 
Last edited by a moderator:
Eti nini? Hizo nchi za Rwanda, Congo n.k ni macho yangu au? Juzikati hapo kuna wajinga walianzisha thread eti King Kiba ni 'underground' coz anafanya show za ndani...
Kumbe King kajipanga kufanya yake...
Pop it in. ...

Hivi wale wachimba chumvi wanakuumizaga kichwa!!!
Waache wajifariji tu
 
Kwahiyo ukifanya show ndani ya nchi yako we ni underground?

Mi napita kama upepo kwenye thread zilizoandikwa na watu wanaohitaji mind liberation

Na id zao rundo kila cku zinaibuka mpya! Hahahaaaa wanahaha km wana uchungu wa kujifungua, moja haikai mbili haisimami,, kiba anawahenyesha sn n they know that, ndio maana kutwaaa kuhorojoka, cku haipiti hawajamtaja king(wanaanzaje kwanza)

Kibaaaaaaaaa, pop it in
 
Hahahaaa, abou umenichekesha sana.Kweli kuna watu wanaudhi sana usipokua makini utakula ban kila wakati.
Nilichoka nikawaacha tu wajifariji kwa ujinga wao.

Kuna mmoja nilibishana nae nikakoswa na ban mpaka leo napitaga tu
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa, abou umenichekesha sana.Kweli kuna watu wanaudhi sana usipokua makini utakula ban kila wakati.
Nilichoka nikawaacha tu wajifariji kwa ujinga wao.

Watamuongelea nani sasa unadhani??
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…