yaani my dear ndio nimeuona, tuombee kheri tu hiyo project ikamilike kwa baraka maana sipati picha hao wakali wawili wafanye kitu, ukijumlisha na ile sauti ya Kiba! uwiiiii i wont sleep that day, sory my Viol kitanda kitakuhusu mwenyewe
yaani my dear ndio nimeuona, tuombee kheri tu hiyo project ikamilike kwa baraka maana sipati picha hao wakali wawili wafanye kitu, ukijumlisha na ile sauti ya Kiba! uwiiiii i wont sleep that day, sory my Viol kitanda kitakuhusu mwenyewe
Tulikubaliana na nifah nitafute rafiki wa kalamu ili niwe naja mara kwa mara lakini rafiki wa kalamu hajapatikana bado, lol. mimi nipo poa atoto, hofu kwako manake na wewe umeadimika mbaya!
Tulikubaliana na nifah nitafute rafiki wa kalamu ili niwe naja mara kwa mara lakini rafiki wa kalamu hajapatikana bado, lol. mimi nipo poa atoto, hofu kwako manake na wewe umeadimika mbaya!
mie niadimike humu si nitaumwa kabisa!! mie niko poa, tatizo nawe km konokono we endelea kuzubaa hivyo hivyo shemeji!!
hebu sikiliza wife wa dunia kwanza
mie niadimike humu si nitaumwa kabisa!! mie niko poa, tatizo nawe km konokono we endelea kuzubaa hivyo hivyo shemeji!!
hebu sikiliza wife wa dunia kwanza
nimefurahi kwamba upo poa. sionekani ndo vile tena pilika manake sie wengine ukiumwa siku moja tu siku ya pili hata hela ya maandazi itabid ukamwangukie mwenyekiti wa kitongoji.
Yaani mjue hata sifahamu nini kinaendelea duniani manake haya maisha haya, yatatutia uchizi muda si mrefu. Ms.Lincoln, hiyo ngoma kali ni ipi? Hebu niwekee link basi mara moja.