Ali Kamwe ni kama hajielewi

Ali Kamwe ni kama hajielewi

Scott junior

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2022
Posts
2,402
Reaction score
3,182
Hivi huyu ni msemaji wa Yanga au msemaji wa Hersi?

Kwani haelewi kwamba kuna Hersi rais wa Yanga na Hersi Said mwenye maisha yake binafsi? Suala la kugombea ni suala binafsi la Hersi linaihusu nini Yanga kama klabu?

Kushindwa kwake kuna uhusiano gani na performance ya Yanga uwanjani. By the way mwambieni huyu mtoto Hersi hakwenda kugombea ubunge kama rais wa Yanga bali kama mwanachama wa CCM.

Au ndo yaleyale Yanga na CCM wote ni green and yellow. Nyuma mwiko bhana 🤔🤔
 
Hivi huyu ni msemaji wa Yanga au msemaji wa Hersi?

Kwani haelewi kwamba kuna Hersi rais wa Yanga na Hersi Said mwenye maisha yake binafsi? Suala la kugombea ni suala binafsi la Hersi linaihusu nini Yanga kama klabu?

Kushindwa kwake kuna uhusiano gani na performance ya Yanga uwanjani. By the way mwambieni huyu mtoto Hersi hakwenda kugombea ubunge kama rais wa Yanga bali kama mwanachama wa CCM.

Au ndo yaleyale Yanga na CCM wote ni green and yellow. Nyuma mwiko bhana 🤔🤔
Hilo ni tatizo la kinchi. Ukimchamba kiongozi wa sirikali, badala adili na wewe binafsi kwa kutumia vyanzo vyake binafsi, zitatumika rasilimali za nchi.
 
Mm ni yanga,ila hili la heri na huyu semaji wetu naona kichefu chefu ata kulifikiria
 
Mwenzako ndio kwanza bado ndoa changa, unataka alee vipi ndoa yake. Yaan hujui kaajiriwa Yanga na Hersi??
 
Hivi huyu ni msemaji wa Yanga au msemaji wa Hersi?

Kwani haelewi kwamba kuna Hersi rais wa Yanga na Hersi Said mwenye maisha yake binafsi? Suala la kugombea ni suala binafsi la Hersi linaihusu nini Yanga kama klabu?

Kushindwa kwake kuna uhusiano gani na performance ya Yanga uwanjani. By the way mwambieni huyu mtoto Hersi hakwenda kugombea ubunge kama rais wa Yanga bali kama mwanachama wa CCM.

Au ndo yaleyale Yanga na CCM wote ni green and yellow. Nyuma mwiko bhana 🤔🤔
Yanga bingwa
 
Back
Top Bottom