Alfred Ngotezi hatunaye tena

Mwenyezi Mungu Mwenye Rehma Nyingi Amuweke pahari panapomstahili.. Marehemu Atabeba Mzigo wake Mwenyewe.
 
poleni sana familia ya ya Ngotezi
just imagine unajua baba kasafiri kikazi atarudi ghafla unaambiwa katangulia bila hata kuaga.
 
OMG... one of free minds pale Daily News.. nimemsoma hivi majuzi tu (just few days ago) RIP Ngotezi. After Lusekelo, nilikuwa napenda kumsoma huyu bwana..
Mkuuu............imenigusa sana katika namna hiyo hiyo mkuu!!!

Duh!!.........mbaya sana.
 
Jamani kama kuna mtu anapaelewa kwake marehemu hapa dar anijulishe nikatoe rambirambi zangu maana nasikia mwili wake unaletwa hapa leo kuagwa rasmi,kabla haujapelekwa Sengerema kwa mazishi.
 
Huyu marehemu alishafanya kazi kwenye maeneo ya AICC, alikuwa na political mentality alikwenda kugombea ubunge kwao kama Biharamulo au Ngara nimesahau. R.I.P. Alfred Ngotezi.

 
Huyu marehemu alishafanya kazi kwenye maeneo ya AICC, alikuwa na political mentality alikwenda kugombea ubunge kwao kama Biharamulo au Ngara nimesahau. R.I.P. Alfred Ngotezi.

Aligombea jimbo la BUCHOSA,alikuwa ni mtu rahisi kuzoeleka.Tulikutana mara ya kwanza AICC hospital mwaka 2005 kwenye foleni ya kumwona dr tulizoeana palepale.RIP bro
 
Nimepata taarifa za kifo chake kwa mshtuko mkubwa kwani alikuwa mtu muhimu kwa siasa za sengerema na mwanza kwa ujumla alipenda kuwa mwakilishi wetu lakini kura hazikutosha pumzika kwa AMANI A,D NGOTEZI
 
Acha kupandikiza mawazo ya chuki na uongo. Postmoterm imeonyesha alifariki kwa hypertension. Mimi ni rafiki yake wa karibu nilikuwa nae siku anafariki.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…