Brig General Carlitos Way
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 1,520
- 3,482
Tatizo watu hawasomi nakuelewa wanawahi comments kabla ya kuelewa anacho comment.Jaribu kuwa mwelewa simtetei mtu najaribu kuandika kitu kilichokuwa na ithibati kamili... Hata kama Mwinyi alikuwa mstari wa mbele lakini mwisho wa siku ilitumika kampuni moja kufanikisha mchakato... Kuna vitu vingi muhimu nimegusia kwenye mada kuu naona hukuviona
MmmhKipanya bana... View attachment 910433
Mtoto wa Kipanya adhibitiwe, udadisi wake unaenda mbali sana khaa!!?Kipanya bana... View attachment 910433
Tuweke siasa kando wewe jamaa ni akili nyingi sana mkuu. Respect respect respect ..Mada iko very clear nimetaja kampuni kwakuwa wamiliki kwa maana ya shareholders huja na kuondoka.... Lakini kila ajaye hurithi mipango, mikakati madeni faida nk.... Hapa nimejadili kampuni sio mtu
Ukitaka kufahamu madhara mengine hii nchi ilikua na watu ma giant, hebu angalia siku hizi watu wafupi wadogo hawana nguvu na afya pia. Vijana wa zamani ilikua hata awe mfupi lakini yuko na nguvu haswa.Nchi za West Africa tulikua tunatoshana nao kwa u giant na nguvu, hebu angalia leo timu za mpira, wachezaji wetu kama vitoto vile.. madhara yake ni makubwa na watu bado wanatetea ujinga tu. Pale forodha hio issue Iliua watu wengi sana.. rip wapendwa wetu.
Sasa hivi ndiyo alishasaini mikataba kuchukua Simba na nembo na ASSETS ZAKE. Kuna kesi imeanzishwa na taasisi ya serikali.
Kuna kiza kinene kibaya nyuma ya hiki kitu kinachoitwa mafanikioHalafu mtu anaamini tu kua ku-struggle kikawaida unakua bilionea.
Matajiri wengi wana TELLABLE na UNTELLABLE stories kuhusu mafanikio waliyoyafikia.
Usiniambie ndio walioingiza huo mchele wenye madhara kwa binadamu??Mohamed Enterprises Ltd
Utajiri unukao damuUsiniambie ndio walioingiza huo mchele wenye madhara kwa binadamu??
Daah.