Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,919
- 33,502
Kweli kabisa, kwanza siku hizi hata jinsi wanavyopatikana ni ujinga mtupu!Watu wa kitengo ilikua enzi za Mwalimu na Mwinyi kidogo. Siku hizi ma dogo wanatamka LIVE mbele ya watu kuwa wako usalama. Enzi zile mtu wa kitengo anajifanya fundi magari au fundi ujenzi au anauza bar. na huyo barmaid ni simple hata ukiomba mzigo unapewa tu. sema siku zile ule ujinga wa mtandao wa tigo ulikua hakuna
Nasikia mwalimu nyerere alikuwa anawafuata mashuleni kisha anawafunza tangu wakiwa shule za sekondari, siku hizi wanachukuana kiujomba! Ndio unamkuta yuko bar na kibastora chake eti anatisha watu mi usalama,
Uninga mtupu