Hivi huyu Askofu ana msimamo gani hasa juu ya siasa za nchi yetu?nani alipendekeza huyu mtu awe askofu wetu?hivi anajua misimamo yetu au anajifanyia mambo yake anavyotaka na kujipendekeza kwake ccm?ni lini hasa tutaachana na hawa wanafiki?
Kabla ya kuandika nakushauri ukasome historia ya Lutheran waweza kujua kwa nini Dr Alex G. Malasusa amekuwa hivyo. Hata mimi ni mKKKT.
Labda kama mna jingine kwa huyo askofu! Alishatoa msimamo wa kanisa, akiwa Askofu wa KKKT na pia kupitia Jumuia ya Kikristo (CCT)! Naombwa tafadhali nisiulizwe alisemaje, ninachojua na nilicho na uhakika nacho alishatoa msimamo wa KKKT!
tunaomba sana tuwekee msimamo wake hapa manake tumefatilia na tunajua yupo wkenye bunge la katiba tunataka msimamo wake ili tuanze kuchukua hatua
tunaomba sana tuwekee msimamo wake hapa manake tumefatilia na tunajua yupo wkenye bunge la katiba tunataka msimamo wake ili tuanze kuchukua hatua
kwa nini asiwe wazi tujue ili tujue what way forwad,viongozi wanafiki ndani ya kanisa hatuwahitaji tena tunataka mabadiliko ya kutuvusha huko tuendako
tunaomba sana tuwekee msimamo wake hapa manake tumefatilia na tunajua yupo wkenye bunge la katiba tunataka msimamo wake ili tuanze kuchukua hatua
rosemarie,
Angalia Cardinali Pengo alivyo kimya. Japo viongozi wengine kwakweli wanatutetea, Severine Niwemugizi yupo vizuri sana
Kabla ya kuandika nakushauri ukasome historia ya Lutheran waweza kujua kwa nini Dr Alex G. Malasusa amekuwa hivyo. Hata mimi ni mKKKT.
rosemarie,
Mimi mwenyewe ni mlutheri, naipenda kanisa langu, ninampenda zaidi Mungu ninayemtumikia. Huyu askofu nadhani ana elements za ccm, au misaada ya Lowassa makanisani inawalemaza vichwa baadhi ya viongozi wetu, wapo kimya kwenye mambo muhimu yanayohusu taifa letu, hawaoni kwamba wanaoumizwa ni sisi watanzania ambao kimsingi ndiyo waumini wao.
Nina mashaka maaskofu wakuu wa makanisa na viongozi wa madhehebu wanawekwa na usalama wa taifa bila waumini kujua. Angalia Cardinali Pengo alivyo kimya. Japo viongozi wengine kwakweli wanatutetea, Severine Niwemugizi yupo vizuri sana
Hivi huyu Askofu ana msimamo gani hasa juu ya siasa za nchi yetu?nani alipendekeza huyu mtu awe askofu wetu?hivi anajua misimamo yetu au anajifanyia mambo yake anavyotaka na kujipendekeza kwake ccm?ni lini hasa tutaachana na hawa wanafiki?