Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,339
Mwenyekiti wa chama cha Waigizaji Tanzania (TDFAA) bwana Chiki mchoma Amesema Alex Korosso maarufu kama Simba ambaye amejiua kwa kujipiga risasi baada ya kumuua kijana mmoja aitwaye Gift kwa kumpiga risasi alikuwa mtunza hazina wa kikundi hicho cha Waigizaji- Tanzania kilichopo Dar es Salaam.
Pia bwana korosso alikuwa mwanachama wa kikundi hicho.
Pia soma> Mauaji Lemax Bar Sinza kwa Remmy: Kabla ya kujiua, Alex Korosso alimpiga risasi Gift Mushi
Pia bwana korosso alikuwa mwanachama wa kikundi hicho.
Pia soma> Mauaji Lemax Bar Sinza kwa Remmy: Kabla ya kujiua, Alex Korosso alimpiga risasi Gift Mushi