Kottler Masoko
Senior Member
- May 28, 2010
- 193
- 28
Mambo mazito leo yamenitokea hapa mlimani city,nilitangaza hapa jamvini kwamba nauza laptop,kuna jamaa mmoja akaniambia kwamba yeye anaitaka.baada ya mawasiliano ya takriban siku 2,leo akanambia tukutane maeneo ya mlimani city,alikuja na mwenzake na carina ya silver yenye namba hizi T443 BHN,baada ya kuangalia mali na kuipenda,jamaa mmoja akasema anaenda ATM kuchukua pesa,ghafla alipofka ndani akanipigia simu niende pale Merry Brown,na me kwa imani na amani nikaacha machine ktk gari yao na yule dereva wake,lakini nikawa na wasiwasi nikaandika kwanza namba ya gari ktk simu then nikaenda,nilipofika pale merry brwn ckumuona jamaa na nikampigia simu akawa ananielekeza kule vyooni,me ckwenda na nikatoka nje nikakuta ile gari yao inatoka kwa kasi,kupiga simu(0719359573) jamaa akawa hapokei na muda si mrefu ikawa haipatikani.then nikawa nimeibiwa laptop yangu kizembe zembe tu.nimeriport hii issue polisi udsm na RB ninayo,nataka ni deal nao slowly na Mungu ni mwema nitawapata wakiwa hai au vinginevyo.
Nikiwa kama mwana jamvi ninayetakia mema wanajamvi wenzangu,nimeleta hili swala hapa kwanza kama tahadhari kwa wale watu wanaouza vitu yasije yakawakuta,pili Jamii Forum iangalie kama kuna measures za kuweza kusaidia hawa matapeli kunaswa kwa kulitafuta hilo gari husika au simcard details na nikipita taarifa ktk PM niweze kushirikiana na mpelelezi kuwatia nguvuni hawa vijana wapenda jasho za wenzao.
Naomba kuwakilisha na Msaada wenu nitaushukuru sana.
Jihadharini Wadau!!
Nikiwa kama mwana jamvi ninayetakia mema wanajamvi wenzangu,nimeleta hili swala hapa kwanza kama tahadhari kwa wale watu wanaouza vitu yasije yakawakuta,pili Jamii Forum iangalie kama kuna measures za kuweza kusaidia hawa matapeli kunaswa kwa kulitafuta hilo gari husika au simcard details na nikipita taarifa ktk PM niweze kushirikiana na mpelelezi kuwatia nguvuni hawa vijana wapenda jasho za wenzao.
Naomba kuwakilisha na Msaada wenu nitaushukuru sana.
Jihadharini Wadau!!