Cowwizy ‏@ngwair19h Chaga Family ! Binti:"Mama nimemuomba baba hela nikasuke kaninyoa nywele" Mama:"Na una bahati ungemuomba hela ya colgate angekung'oa meno"
[h=5]Sam Misago
[/h][h=5]Taarifa Nilizo Pata Kutoka South Africa Kutoka Kwa Hussein Original Ambaye Yupo Pretoria Amesema Ngwear Amefariki Leo Asubuhi. Alikuwa Ghetto Moja Na Msanii M To The P. Walivyokwenda Kuwagongea Asubuhi Walikuta Ngwear Amefariki Na M To The P Amepoteza Fahamu Kabisa. Pia Daktari Ameshatoa Taarifa Kwa Watu Wa Karibu Wa Ngwear Huko South Africa. Wanasema Alilala Amelewa Sana.
[/h]
Kwa mujibu wa matangazo ya Radio Clouds FM, Mwanamuziki wa kizazi kipya Albert Mangwea amefariki leo huko Afrika ya Kusini. Chanzo cha kifo chake bado hakijajulikana na wameahidi wakipata watatupasha. RIP Mangwea.
Rafikiye aitwaye Gudluck(Mtz) wa huko South anasema had jana ucku kalala fresh na leo ilikuwa arudi huku Tz bt hakubahatka kuiona asbh wenzie wamemkuta getho keshapoteza ndo wakampeleka hosp kuthibtsha na kupata post moterm lkn wameshndwa kuelewa kikristo cha dokta alokiandka kwa paper.
Ngwea akiwa na msanii M to the P jana south africa.mtu wa karibu anasema walitakiwa kurudi dar leo lakini waliwakuta wamezima kwenye room wote wawili baada ya kuji overdose madawa ya kulevya na M to the P yupo hoi hospitali.