Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,640
- 9,263
Hii dunia ni pana sana. Usifanye kisasi ambacho hukijui mwisho wake.Hivi unadhani nitafanya hivyo huku sijiamini na sina uwezo wa kukudhibiti? Unashughulikiwa kulingana na ulivyo.
Usije ukawa kama Hamas kwenye tukio la october 7 wakafikiri wamemaliza ila sasa kinachoendelea Gaza ni afadhali kuliko tukio la october 7