Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 21,336
- 46,121
Mwanamke ana akili za kitoto sana, ukiona mwanamke wako anakwambia serious kabisa eti fulani kanitongoza basi jua anajaribu kununua uaminifu, na ukimpa tu jua umekwisha.
Cha kufanya jamaa apotezee na achukulie kama utani tu na aone ni kitu cha kawaida kabisa mkewe kutongozwa la sivyo akijifanya kuanzisha shari, sijui ushenzi wa kumuuliza mgoni wake basi ahesabu maumivu.
Cha kufanya jamaa apotezee na achukulie kama utani tu na aone ni kitu cha kawaida kabisa mkewe kutongozwa la sivyo akijifanya kuanzisha shari, sijui ushenzi wa kumuuliza mgoni wake basi ahesabu maumivu.