quimby_joey
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 390
- 164
Mkurugenzi =/Mkulugenzi
thanks 4 assistance huwa NACHUKIA sana kusoma maandishi yaliyokosewa, hivi hawa watu waliruka standard one, ama kwanini hawafanyi proof reading? aargghh!!!
Mkurugenzi =/Mkulugenzi
Hebu jifunza kuandika lugha yako ya Taifa vizuri tazama humo nilimokuwekea rangi nyekundu, iwe kama ifuatavyo:
safali = safari
mkulugenzi = Mkurugenzi
akaamulu = akaamuru
wizala = Wizara
falaja = faraja
feza = fedha
thanks 4 assistance huwa NACHUKIA sana kusoma maandishi yaliyokosewa, hivi hawa watu waliruka standard one, ama kwanini hawafanyi proof reading? aargghh!!!
thanks 4 assistance huwa NACHUKIA sana kusoma maandishi yaliyokosewa, hivi hawa watu waliruka standard one, ama kwanini hawafanyi proof reading? aargghh!!!
Hebu jifunza kuandika lugha yako ya Taifa vizuri tazama humo nilimokuwekea rangi nyekundu, iwe kama ifuatavyo:
safali = safari
mkulugenzi = Mkurugenzi
akaamulu = akaamuru
wizala = Wizara
falaja = faraja
feza = fedha
Anaitwa peniel mgonja,yupo immigration.inashindikana nini kumtaja huyo mkurugenzi? mbona wengine mnataja mfano lowasa, werema nk, tutajie basi huyo kibosile tumchambue hapa, u never know huenda wengine tuna more referenses za huyo mtu
ndugu gwagu, namashaka na uraia wako, hivi kiswahili kinakushinda kiasi hicho??
thanks 4 assistance huwa NACHUKIA sana kusoma maandishi yaliyokosewa, hivi hawa watu waliruka standard one, ama kwanini hawafanyi proof reading? aargghh!!!