Cetshwayo Kampande
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,033
- 2,340
Inafikirisha kweli,maana serikali hiyo hiyo ya Kijiji ilihusika kwenye mchakato wa kupata title deedinafikirisha sana mkuu
Inafikirisha kweli,maana serikali hiyo hiyo ya Kijiji ilihusika kwenye mchakato wa kupata title deedinafikirisha sana mkuu
Hivi sheria inasemaje ikiwa mtu alipewa eneo na serikali ya kijiji/mji na hakufanya chochote kwa muda mrefu baadae serikali ya kijiji ikarudisha eneo kwa wananchi ndipo yule mwekezaji akajitokeza na kudai eneo baada ya kesi kwenda mahakamani yule mwekezaji akashindwa kesi lakini akawa bado anaenda kwenye maeneo yale kukagua mipaka hii imekaaje kisheria?
Wameibiana wenyewe hao, nani awaibie wachaga bati?Ndio hadi kuiba Mali zao Sasa?busara huepusha madhara,wangepewa muda wakuondoa Mali zao,wangeambulia bati na tofali kadhaa ,madirisha, materials za pesa mingi Sana Apo zimepotea
Miaka mitatu lakini lirudi serikalini hati ifutwe halafu apewe mwengine.Hivi sheria inasemaje ikiwa mtu alipewa eneo na serikali ya kijiji/mji na hakufanya chochote kwa muda mrefu baadae serikali ya kijiji ikarudisha eneo kwa wananchi ndipo yule mwekezaji akajitokeza na kudai eneo baada ya kesi kwenda mahakamani yule mwekezaji akashindwa kesi lakini akawa bado anaenda kwenye maeneo yale kukagua mipaka hii imekaaje kisheria?
Wale wazenj hawana hati miliki ya lile eneo! Kauli ya Rais kumgawia eneo lile muwekezaji wa ndani maana yake hata kama eneo lingekiwa na hati kile kitendo cha Rais ni sawa na kufuta hati iliyokuwepo!No wonder Msemaji rasmi wa SMZ alionya kuhusu RAZABA!
Lijamaa wewe unaweza kuta ni shabiki wa lisuWasalaam,
Tanzania ya wabeba ndio sasa watu wamebomolewa nyumba zao na kuibiwa vitu huko Kijiji cha Mapinga Bagamoyo. Ni huzuni kubwa sana sana. Mungu wa mbinguni awape nguvu ya kustahimili wahanga wote.
Tunawapenda wote na Mungu aweke wepesi kwenye machungu yenu. Akawape rehema ya riziki mpate kuamka tena kimaisha.
Inshallah Mungu ni mwema
Wadiz
Kwa hiyo waliobomolewa wote ni wachaga?ukabila umetoka wapi Tena apa BibiWameibiana wenyewe hao, nani awaibie wachaga bati?
Hapo utakuta 90% ni wachaga. Wanajulikana kwa uvamizi wa viwanja.Kwa hiyo waliobomolewa wote ni wachaga?ukabila umetoka wapi Tena apa Bibi
Naomba taarifa kamili tafadhali ninaye ndugu yangu huko ana geto lako wasijekuwa wamelivunja muda si muda anipigie nimpe msaada .
Nialert mapema nimkwepe
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
HAO NAO MAZUZU TU,YAANI WANAVUNJIWA WANAANGALIA TUWatanganyika wanatesaka kati ardhi ya nchi yao....kuna mwisho, ipo siku.
wanaokamata maeneo makubwa hivyo wanakuwaga wap mpk watuvamie?Mambo mengine lazima tufuate haki za watu. Hapa hawa waliovunjiwa walivamia shamba la mtu wakaambiwa waondoke wakafanya jeuri hata hawakutaka majadiliano na mwenye shamba!! Sasa mahakama imeamua hawa wavamizi waondolewe shambani kwa mwenyewe maadam hawakutaka maelewano!!
Uvamizi Kama huu uko kwenye mashamba ya Watu mengi huko kuelekea seheme za Mapinga , hivyo nyumba nyingi zitavunjwa iwapo wavamizi hawatapata suluhu na wenye mashamba! Kumbuka haya mashamba yana TITLE DEEDS!
Hivi ukivamia shamba lisilo na title deeds mwenye shamba anaweza kukushinda na ukabomolewa?Mambo mengine lazima tufuate haki za watu. Hapa hawa waliovunjiwa walivamia shamba la mtu wakaambiwa waondoke wakafanya jeuri hata hawakutaka majadiliano na mwenye shamba!! Sasa mahakama imeamua hawa wavamizi waondolewe shambani kwa mwenyewe maadam hawakutaka maelewano!!
Uvamizi Kama huu uko kwenye mashamba ya Watu mengi huko kuelekea seheme za Mapinga , hivyo nyumba nyingi zitavunjwa iwapo wavamizi hawatapata suluhu na wenye mashamba! Kumbuka haya mashamba yana TITLE DEEDS!
Kila kitu lawama kwa ccm, ukifanya umalaya wako ukaambukizwa kaswende lawama kwa ccmHaya yanafanyika kwa sababu CCM imegeuka pango la wauaji na majambazi.
Na usikute hao jamaa walisindikizwa na polisi kufanikisha unyama huu.
IGP Wambura yupo bize kupambana na kina Lissu wasifanye mikutano badala ya kusimamia sheria
Ndio kama umevamia shamba lililoendelezwa. Unavamia shamba lenye miembe na minazi!!Hivi ukivamia shamba lisilo na title deeds mwenye shamba anaweza kukushinda na ukabomolewa?
Ukisikia kutapeliwa ndio hivyo!!Wallah nitamroga dalali. Unakuta umekopa bank.