MZIMU
JF-Expert Member
- Apr 29, 2011
- 4,057
- 1,371
Katika vitu ambavyo, sivielewi na vina nishangaza sana katika siasa za Tanzania, ni ushindi wa chama tawala katika chaguzi nyingi zinazo fanyika hapa nchini. Kwa sababu maongezi ya watu wengi wenye akili timamu, huonyesha wazi na kwa mifano kutokuridhika na chama hicho. Na pale watu wanapo ongea, hatokei hata mtu mmoja wa CCM kujitetea.
Kampeni zao hutawaliwa na rusha roho na bongo fleva kwasababu bila vionjo hivyo, watu hawana taimu wala muda huo. Tofauti na mikutano ya vyama vingine ambavyo hujaza watu bila hata rusha roho au bongo fleva.
Sasa baada ya uchaguzi, matokeo hua CCM kashinda kwa kishindo. Kitu kingine cha ajabu. Tunatarajia washindi wawe na furaha na washangilie. Tofauti na ushindi wa chama hicho, wanao shangilia mitaani ni kundi kubwa la watoto, mabinti wa kike na vijana dizaini flani hivi wa vitaa.
Watu wengi hulalamika kua hawa jamaa wanaiba kura. Mpaka ikaja ile hadithi, unamchagua mpinzani lakini tick yako, inajiandika kwa CCM.
Kwakeli mimi ilikua sipati jibu. Lakini sasa baada ya zoezi la SENSA kwisha, na kutangazwa kua limefanikiwa kwa 95%, lakini ikalazimika kuongeza muda kwa 100%, jambo ambalo limesababisha mauji ya ndugu Daudi Mwangosi. Na constant press release, kwamba zoezi limefanikiwa, ukweli ukiwa idadi kubwa ya waislamu nchi nzima waligomea na wanaendelea kugomea zoezi hilo.
Inanisikitisha kuona kua, serekali imeshindwa kuwashawishi raia wake katika jambo muhimu kama hili, matokeo yake wanaamua kutumia vyombo vya habari kufanya propaganda dhidi ya raia wake wenyewe kua zoezi limefanikiwa.
Ninavyojua mimi propanganda hutumika kumzuga adui. Kwa hiyo kwa propaganda hizi, serekali hii imekua na uadui na raia wake wenyewe. Hivyo inalazimika kufanya propaganda kuficha kushindwa kwao.
Kwa mtaji huu sasa nimamini kua ushindi wa CCM, Tanzania bara(Tanganyika), na Visiwani (Zanzibar), kweli ni wamagumashi.
Kampeni zao hutawaliwa na rusha roho na bongo fleva kwasababu bila vionjo hivyo, watu hawana taimu wala muda huo. Tofauti na mikutano ya vyama vingine ambavyo hujaza watu bila hata rusha roho au bongo fleva.
Sasa baada ya uchaguzi, matokeo hua CCM kashinda kwa kishindo. Kitu kingine cha ajabu. Tunatarajia washindi wawe na furaha na washangilie. Tofauti na ushindi wa chama hicho, wanao shangilia mitaani ni kundi kubwa la watoto, mabinti wa kike na vijana dizaini flani hivi wa vitaa.
Watu wengi hulalamika kua hawa jamaa wanaiba kura. Mpaka ikaja ile hadithi, unamchagua mpinzani lakini tick yako, inajiandika kwa CCM.
Kwakeli mimi ilikua sipati jibu. Lakini sasa baada ya zoezi la SENSA kwisha, na kutangazwa kua limefanikiwa kwa 95%, lakini ikalazimika kuongeza muda kwa 100%, jambo ambalo limesababisha mauji ya ndugu Daudi Mwangosi. Na constant press release, kwamba zoezi limefanikiwa, ukweli ukiwa idadi kubwa ya waislamu nchi nzima waligomea na wanaendelea kugomea zoezi hilo.
Inanisikitisha kuona kua, serekali imeshindwa kuwashawishi raia wake katika jambo muhimu kama hili, matokeo yake wanaamua kutumia vyombo vya habari kufanya propaganda dhidi ya raia wake wenyewe kua zoezi limefanikiwa.
Ninavyojua mimi propanganda hutumika kumzuga adui. Kwa hiyo kwa propaganda hizi, serekali hii imekua na uadui na raia wake wenyewe. Hivyo inalazimika kufanya propaganda kuficha kushindwa kwao.
Kwa mtaji huu sasa nimamini kua ushindi wa CCM, Tanzania bara(Tanganyika), na Visiwani (Zanzibar), kweli ni wamagumashi.