Makedha
Senior Member
- Sep 24, 2010
- 167
- 53
Nataka kuanzisha thread came ile kuhusu maneno za kiswahili zinazohusu technolojia (=> https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-lugha/128274-technolojia-na-kiswahili.html ) , lakini sasa unatakiwa kutoa jina ya ala za muziki kwa kiswahili.
Najua tayari kuwa:
Flute = Filimbi
Ngoma = Drum
But this is it...
Natamani kujifunza ala za muziki zaidi kwa kiswahili (na hasa tafsiri ya "piano" na "violin")
Ikiwa unajua tafsiri zaidi, uzitoe hapa tafadhali.
Najua tayari kuwa:
Flute = Filimbi
Ngoma = Drum
But this is it...
Natamani kujifunza ala za muziki zaidi kwa kiswahili (na hasa tafsiri ya "piano" na "violin")
Ikiwa unajua tafsiri zaidi, uzitoe hapa tafadhali.