Maishamapya
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,279
- 375
Fitna kubwa sana hizi.
Kwa mara ya kwanza umetoa point. Ni kweli hii ni fitna kubwa kwa TFF na vilabu vyetu maana itatia hofu watu wasiende kuangalia mechi na hivyo kushusha mapato. Ni Mwita anahofia kufungwa na *****.