Al-Shabaab kushambulia mechi ya Simba na Yanga

Fitna kubwa sana hizi.

Kwa mara ya kwanza umetoa point. Ni kweli hii ni fitna kubwa kwa TFF na vilabu vyetu maana itatia hofu watu wasiende kuangalia mechi na hivyo kushusha mapato. Ni Mwita anahofia kufungwa na *****.
 
Hivi kwa nini waislamu wanapenda ugaidi?....................kwani allah kawaambia nini kwenye quran yao jamani?..................hizi dini nyingine yafaa kuzifuta kwani kila palipo na uislamu lazima pawe na chuki, vita, kujitolea mhanga na uharamia na mambo chungu nzima.....................kwa nini uislamu uliletwa na yule muongo wao muhammadd?..............ona waislamu hufurahi wanapoua mtu na wanasema jino kwa jino hivi kweli dini hii inastahili kuwepo duniani?.........yaani penye uislamu ni fitna tu na unafiki na kuganga njaa kwa mfano viongozi wa kiislamu kuganga njaa kwa ccm na mafisadi na kutoa matamko kwa niaba ya serikali...........................sielewi tufanyeje na hii dini ila mimi nazidi kuwaombea waislamu wote waokoke wamkubali yesu kuwa mungu na mwokozi wao
 
Mwita25 hii taarifa ni sensitive sana..sio issue ya kubeza...wewe ni shabiki wa timu gani kati ya hizi 2?...maana kwa tishio hili la uvamizi unakwaza mashabaki wasiende kushuhudia mechi laiv hivyo hata makusanyo ya viingilio nayo yataathirika..ihamishiwe jukwaa la jokes otherwise. Tusiweke utani kwenye jambo ambalo litagharimu roho za watu bana... kwani Al shabab umesikia wanachuki na TZ?
 
Kuna habari zimezagaa kuwa Al-Shabaab wana mpango wa kulipua katika mechi ya Simba na Yanga kesho. Naomba muwe waangalifu sana kama itawalazimu kwenda kuangalia mchezo huo lakini ushauri ni kuacha kwenda kwenye mechi hiyo kabisa. Hizi ni habari za ndani sana hivyo source haiwezi kuwekwa hapa.
...

Hii habari ya ukweli kabisa...maana kulikua na magaidi kule Igunga na Taarifa ikatolewa..naona sasa washaingia Dar es salaam...
 


Hizi ni tetesi kutoka kwa mhe sana Mwita ... Inavyoonekana yeye ni mshabiki wa timu mojawapo hasa ***** ambayo nahofia itafungwa hivyo anaona silaha ni kutumia hoja dhaifu ya Kova ya kuzuia maandamano ya Dowans na kuileta kwenye mechi ya Simba na Yanga. Mbona watu hammstukii huyu kilaza?
unahisi ni shabiki wa timu gani?
 
Back
Top Bottom