Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,216
- 31,304
ACHA UNAFIKI............... Mbona hutaki kuwa mweli..???Hapa tunaongelea Al shabaab sio uislam. Think greatly, don't use MASABURI
ACHA UNAFIKI............... Mbona hutaki kuwa mweli..???Hapa tunaongelea Al shabaab sio uislam. Think greatly, don't use MASABURI
Kuna habari zimezagaa kuwa Al-Shabaab wana mpango wa kulipua katika mechi ya Simba na Yanga kesho. Naomba muwe waangalifu sana kama itawalazimu kwenda kuangalia mchezo huo lakini ushauri ni kuacha kwenda kwenye mechi hiyo kabisa. Hizi ni habari za ndani sana hivyo source haiwezi kuwekwa hapa.
kwani hawa Al - shabaab wanaabudu dini gani?
Harakat al-Shabaab al-Mujahideen (HSM) (Arabic: حركة الشباب المجاهدين‎; Ḥarakat ash-Shabāb al-Mujāhidīn, Mujahideen Youth Movement or "Movement of Striving Youth"), more commonly known as al-Shabaab (Arabic: الشباب‎, "The Youth", "The Boys" or "The Lads") is a terrorist group of militants fighting to overthrow the government of Somalia. As of 2011, the group controls large swathes of the southern parts of Somalia,[SUP][5][/SUP] where it is said to have imposed its own strict form of Sharia law.[SUP][6][/SUP] Al-Shabaab's troop strength as of May 2011 is estimated at 14,426 militants.[SUP][2][/SUP]al shabaan oops sorry al shabaab ivi ina maan gani kwa nyie mjuao lugha ya kiarabu?
Kuna habari zimezagaa kuwa Al-Shabaab wana mpango wa kulipua katika mechi ya Simba na Yanga kesho. Naomba muwe waangalifu sana kama itawalazimu kwenda kuangalia mchezo huo lakini ushauri ni kuacha kwenda kwenye mechi hiyo kabisa. Hizi ni habari za ndani sana hivyo source haiwezi kuwekwa hapa.
Hapa tunaongelea Al shabaab sio uislam. Think greatly, don't use MASABURI
Kuna habari zimezagaa kuwa Al-Shabaab wana mpango wa kulipua katika mechi ya Simba na Yanga kesho. Naomba muwe waangalifu sana kama itawalazimu kwenda kuangalia mchezo huo lakini ushauri ni kuacha kwenda kwenye mechi hiyo kabisa. Hizi ni habari za ndani sana hivyo source haiwezi kuwekwa hapa.
Sidhani kama wana dini hawa
Fitna kubwa sana hizi.
kwani hawa Al - shabaab wanaabudu dini gani?
Kuna habari zimezagaa kuwa Al-Shabaab wana mpango wa kulipua katika mechi ya Simba na Yanga kesho. Naomba muwe waangalifu sana kama itawalazimu kwenda kuangalia mchezo huo lakini ushauri ni kuacha kwenda kwenye mechi hiyo kabisa. Hizi ni habari za ndani sana hivyo source haiwezi kuwekwa hapa.