kayeke
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,600
- 1,748
Ngoja tusubilie kidogo. Wana kelele za ajabu sanandio vizuri waisome number
Ngoja tusubilie kidogo. Wana kelele za ajabu sanandio vizuri waisome number
poapoa mkuuNgoja tusubilie kidogo. Wana kelele za ajabu sana
Mamoja mkuupoapoa mkuu
Itakupunguzia machungu ya kupapaswa na makirikirHahahahaha!Pamoja mkuu mm naitwa Soud nipo na waarabu wenzangu kwa mbaaali km jmosi ......
pamojaMamoja mkuu
Hata weweKILA LA HERI AL MASRY... TUPO PAMOJA
Kuna wakati ndoto huwa kinyume! Kule jamaa hawatashika so nina uhakika hatutapewa penati! Naamini hii itakuwa mara ya mwisho kwa timu yetu kupanda ndege! Mana huku bongo mwenyewe anataka nafasi yake! Ha ha ha simba nguvu ndogo!Jana nimeota simba kampiga mtu3-0
Bado sijaelewa maana ya hii ndoto
hahah ndioooHata wewe
Aiseeeehahah ndiooo
adui muombee njaaAiseeee
Hahahahaha!Pamoja mkuu mm naitwa Soud!
Haka kauzi katashobokewa sana na wale wake zetu wa pale Jangwani...Habar za jioni wadau wa sports,
Mechi ya marudiano kati ya Simba Sc na Al Masri utakaochezwa Jumamosi tarehe 17/3/2018 saa 2.30 usiku saa za afrika mashariki utarushwa live na channel moja ya misri iitwayo DMC Sports.
Nimeona niwajuze channel hii kutokana na malalamiko mengi niliyoyaona kutoka kwa mashabiki wa Simba Sc ambao mpaka leo AZAM TV hawajasema kama watarusha mechi hii na siku zimebaki chache.
Channeli hii inapatikana bure kabisa kwa dish la futi 8 unachotakiwa kufanya ni kutafuta fundi akusetie dish lako kwenye muelekeo sahii wa kupata Nilesat 7 degrees West kisha ajaze frequency basi.
Ni hayo tu wadau..
Nami ngoja nikazie hapo Kila lakheri Al masriKILA LA HERI AL MASRY... TUPO PAMOJA
Na baada ya mechi Amri Diyab atutumbuize na mwimbo wa kumtoa mwaliLazima niangalie naombea iwe inatangazwa kiarabu ili simba wanapofungwa nisikie ::HELUWA::: HELUWA