hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,411
- 26,972
Hii ni Al-Kaaba ikiwa imetandwa shuka jeusi. Kiswah, kitambaa chenye aya za Qur’an zilizochorwa kwa uzi wa dhahabu, kimeundwa kwa vipande 41 na hubadilishwa kila mwaka.
(Kaaba History, Sabir Khan)
Exoteric meaning (kwa waumini au Maamuma)
Hawa Mimi nawaita tabaka la chini,maamuma, huambiwa Al-Kaaba ni nyumba ya Mungu, ishara ya tauhidi, na Jiwe limekuwa Jeusi sababu ya dhambi za wanadamu.
Hadith inasema
“The Black Stone descended from Paradise whiter than milk, but the sins of the children of Adam made it black.”(Sahih al-Bukhari, Kitabu 93, Hadith 512)
Hawa maamuma ,huambiwa hili Jiwe Jeusi lilipoteza rangi yake ya asili nyeupe kutokana na dhambi za wanadamu,hapo tayari Hawa maamuma wanakuwa wameshadanganywa ,ili Hali ile rangi nyeusi ni kile kitambaa (KISWA).
Al-Kaaba kama Urithi wa Kipagani (Esoteric meaning)
Sasa nije kwa upande wa wale wachache wanaopewa Siri ,achana na wale maamuma ,kama ninavyosema siku zote ,Kwenye hizi dini Kuna tabaka mbili, Esoteric na Exoteric meaning ya kila kitu, chunguza mwenyewe utajua.
Colin Wilson, mwanazuoni na mtafiti wa occult, anasema
“Njia ni mali ya Zohali (Saturn), na rangi ya Zohali ni nyeusi.”
(The Black Arts, UK, p. 47)
Wilson anasema wazo la kwamba rangi nyeusi ya Kiswah si tu utambulisho Fulani bali ni ishara ya ibada za Saturn, mungu wa giza na ambaye ni kutoka dini za kale za kipagani.
Theosophy Trust inasema
“Saturn's colour, black, and his emblem, the sarcophagus, accompany the soul as it emulates the planetary god's involvement in the feminine principle.”(Saturn, p.2)
Hapa anasma rangi nyeusi na nembo ya sarcophagus inawakilisha maana ya mystical energy, ikionyesha kuunganishwa kwa nguvu za cosmic na kanuni za kike.,ndio maana chunguza ile alkaaba inakuwa kama ni uzazi wa kike
Alexander Hislop anasema
“Islam, like other systems, absorbed symbols already sacred in the ancient world.”
(The Two Babylons, p.343)
Hislop Uislamu kama mifumo mingine umebeba alama za kipagani za zamani .
Al-Kaaba ni ibada za Babeli, akionyesha jinsi uislamu ulivyoingiza alama na mila za kipagani.
Albert Pike mwanazuoni wa freemason anasema
“The black stone was a universal symbol of the generative principle long before Islam.”
(Moral and Dogma, p.221)
Pike anathibitisha kuwa Jiwe Jeusi lilikuwa alama ya nguvu ya uzazi na cosmic energy kabla ya Uislamu.
Rudolf von Sebottendorff anasema
“The sacred letters and stones are not mere decoration; they are living forces corresponding to cosmic realities.”
(Secret Practices of the Sufi Freemasons, p.41)
Hapa, Sebottendorff anathibitisha kuwa Jiwe Jeusi na Kiswah si mapambo tu, bali ni nyenzo zinazochangia nguvu za cosmic, zinazopatikana kwa wachache tu waliopitishwa.
Kwenye Uislamu Kuna kundi hasa la Sufi Freemason Hawa ndio wanaopewa Siri za ndani (ESOTERIC) ndio Hawa wanaotumia Quran kurogea ,kuita majini ,kutumia TALASIMU , wanakuwa pia na zile Symbols ambazo wewe maamuma huwezi kuzielewa .
Nitakupa mfano kama hizi 👇
Panapo majaaliwa nitakuja wiki nzima kuwaelezea Hawa Sufism ndani ya Uislamu,Hawa ndio wanafahamika kwa kuujua ule uislamu wa ndani (ESOTERIC ISLAM)
Hawa ndio wanajua kucheza na Aya za Quran kwa kuroga mtu au kufanya ritual kama Albadil.
Hata zile HERUFI ambazo zipo ndani ya Quran zinasemwa haIjulikani maana yake Hawa wanajua kucheza nazo.
Geometry na Nyota za Hexagram
Richard C. Hoagland anasema
“A Hexagon is a 2D projection of 2 interlocking 3D tetrahedrons one inside each other. Think of it as a 3D version of the Israeli flag or the Jewish Star.”(Hyperdimensional Hexagon, Coast to Coast)
Mchemraba wa Al-Kaaba unaambatana na Hexagram, alama inayojulikana katika Freemasonry na mystical symbolism.
Webster’s Encyclopedia inasema
“Many of the world’s religious institutions conceal a deeper esoteric knowledge for initiates alone.” (UK, p.112)
Anasema kwenye hizi dini ni Wachache tu ndio wanapewa zile Siri za ndani .Nyie maamuma ambao ni wengi mtapewa zile maana rahisi tu kuwa hii ni ibada kwa Allah, n.k
Mfano Wachache waliopitishwa wanaona Al-Kaaba kama focal point ya esoteric knowledge, ikijumuisha cosmic forces, planetary energy, na alchemy.
Tawaf = planetary alignment
Jiwe Jeusi = sarcophagus ya Saturn
Kiswah = black magic symbolism
Hexagram na mchemraba = sacred geometry inayofundisha occult power
Biblia inatoa onyo
“They sacrificed unto devils, not to God; to gods whom they knew not, to new gods that came newly up, whom your fathers feared not.” (Yoshua 23:16)
Mungu anakemea ibada yoyote inayohusisha miungu ya giza au rituals za siri, akionyesha wazi hatari ya kuendeleza urithi wa paganism.
(Kaaba History, Sabir Khan)
Exoteric meaning (kwa waumini au Maamuma)
Hawa Mimi nawaita tabaka la chini,maamuma, huambiwa Al-Kaaba ni nyumba ya Mungu, ishara ya tauhidi, na Jiwe limekuwa Jeusi sababu ya dhambi za wanadamu.
Hadith inasema
“The Black Stone descended from Paradise whiter than milk, but the sins of the children of Adam made it black.”(Sahih al-Bukhari, Kitabu 93, Hadith 512)
Hawa maamuma ,huambiwa hili Jiwe Jeusi lilipoteza rangi yake ya asili nyeupe kutokana na dhambi za wanadamu,hapo tayari Hawa maamuma wanakuwa wameshadanganywa ,ili Hali ile rangi nyeusi ni kile kitambaa (KISWA).
Al-Kaaba kama Urithi wa Kipagani (Esoteric meaning)
Sasa nije kwa upande wa wale wachache wanaopewa Siri ,achana na wale maamuma ,kama ninavyosema siku zote ,Kwenye hizi dini Kuna tabaka mbili, Esoteric na Exoteric meaning ya kila kitu, chunguza mwenyewe utajua.
Colin Wilson, mwanazuoni na mtafiti wa occult, anasema
“Njia ni mali ya Zohali (Saturn), na rangi ya Zohali ni nyeusi.”
(The Black Arts, UK, p. 47)
Wilson anasema wazo la kwamba rangi nyeusi ya Kiswah si tu utambulisho Fulani bali ni ishara ya ibada za Saturn, mungu wa giza na ambaye ni kutoka dini za kale za kipagani.
Theosophy Trust inasema
“Saturn's colour, black, and his emblem, the sarcophagus, accompany the soul as it emulates the planetary god's involvement in the feminine principle.”(Saturn, p.2)
Hapa anasma rangi nyeusi na nembo ya sarcophagus inawakilisha maana ya mystical energy, ikionyesha kuunganishwa kwa nguvu za cosmic na kanuni za kike.,ndio maana chunguza ile alkaaba inakuwa kama ni uzazi wa kike
Alexander Hislop anasema
“Islam, like other systems, absorbed symbols already sacred in the ancient world.”
(The Two Babylons, p.343)
Hislop Uislamu kama mifumo mingine umebeba alama za kipagani za zamani .
Al-Kaaba ni ibada za Babeli, akionyesha jinsi uislamu ulivyoingiza alama na mila za kipagani.
Albert Pike mwanazuoni wa freemason anasema
“The black stone was a universal symbol of the generative principle long before Islam.”
(Moral and Dogma, p.221)
Pike anathibitisha kuwa Jiwe Jeusi lilikuwa alama ya nguvu ya uzazi na cosmic energy kabla ya Uislamu.
Rudolf von Sebottendorff anasema
“The sacred letters and stones are not mere decoration; they are living forces corresponding to cosmic realities.”
(Secret Practices of the Sufi Freemasons, p.41)
Hapa, Sebottendorff anathibitisha kuwa Jiwe Jeusi na Kiswah si mapambo tu, bali ni nyenzo zinazochangia nguvu za cosmic, zinazopatikana kwa wachache tu waliopitishwa.
Kwenye Uislamu Kuna kundi hasa la Sufi Freemason Hawa ndio wanaopewa Siri za ndani (ESOTERIC) ndio Hawa wanaotumia Quran kurogea ,kuita majini ,kutumia TALASIMU , wanakuwa pia na zile Symbols ambazo wewe maamuma huwezi kuzielewa .
Nitakupa mfano kama hizi 👇
Panapo majaaliwa nitakuja wiki nzima kuwaelezea Hawa Sufism ndani ya Uislamu,Hawa ndio wanafahamika kwa kuujua ule uislamu wa ndani (ESOTERIC ISLAM)
Hawa ndio wanajua kucheza na Aya za Quran kwa kuroga mtu au kufanya ritual kama Albadil.
Hata zile HERUFI ambazo zipo ndani ya Quran zinasemwa haIjulikani maana yake Hawa wanajua kucheza nazo.
Geometry na Nyota za Hexagram
Richard C. Hoagland anasema
“A Hexagon is a 2D projection of 2 interlocking 3D tetrahedrons one inside each other. Think of it as a 3D version of the Israeli flag or the Jewish Star.”(Hyperdimensional Hexagon, Coast to Coast)
Mchemraba wa Al-Kaaba unaambatana na Hexagram, alama inayojulikana katika Freemasonry na mystical symbolism.
Webster’s Encyclopedia inasema
“Many of the world’s religious institutions conceal a deeper esoteric knowledge for initiates alone.” (UK, p.112)
Anasema kwenye hizi dini ni Wachache tu ndio wanapewa zile Siri za ndani .Nyie maamuma ambao ni wengi mtapewa zile maana rahisi tu kuwa hii ni ibada kwa Allah, n.k
Mfano Wachache waliopitishwa wanaona Al-Kaaba kama focal point ya esoteric knowledge, ikijumuisha cosmic forces, planetary energy, na alchemy.
Tawaf = planetary alignment
Jiwe Jeusi = sarcophagus ya Saturn
Kiswah = black magic symbolism
Hexagram na mchemraba = sacred geometry inayofundisha occult power
Biblia inatoa onyo
“They sacrificed unto devils, not to God; to gods whom they knew not, to new gods that came newly up, whom your fathers feared not.” (Yoshua 23:16)
Mungu anakemea ibada yoyote inayohusisha miungu ya giza au rituals za siri, akionyesha wazi hatari ya kuendeleza urithi wa paganism.