Al-Kaaba: Urithi wa Kipagani na Ibada ya Siri

Al-Kaaba: Urithi wa Kipagani na Ibada ya Siri

hamis77

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
18,411
Reaction score
26,972
Hii ni Al-Kaaba ikiwa imetandwa shuka jeusi. Kiswah, kitambaa chenye aya za Qur’an zilizochorwa kwa uzi wa dhahabu, kimeundwa kwa vipande 41 na hubadilishwa kila mwaka.

(Kaaba History, Sabir Khan)

The-Kiswa.webp


Exoteric meaning (kwa waumini au Maamuma)

Hawa Mimi nawaita tabaka la chini,maamuma, huambiwa Al-Kaaba ni nyumba ya Mungu, ishara ya tauhidi, na Jiwe limekuwa Jeusi sababu ya dhambi za wanadamu.

Hadith inasema

The Black Stone descended from Paradise whiter than milk, but the sins of the children of Adam made it black.”(Sahih al-Bukhari, Kitabu 93, Hadith 512)

Hawa maamuma ,huambiwa hili Jiwe Jeusi lilipoteza rangi yake ya asili nyeupe kutokana na dhambi za wanadamu,hapo tayari Hawa maamuma wanakuwa wameshadanganywa ,ili Hali ile rangi nyeusi ni kile kitambaa (KISWA).


Al-Kaaba kama Urithi wa Kipagani (Esoteric meaning)

Sasa nije kwa upande wa wale wachache wanaopewa Siri ,achana na wale maamuma ,kama ninavyosema siku zote ,Kwenye hizi dini Kuna tabaka mbili, Esoteric na Exoteric meaning ya kila kitu, chunguza mwenyewe utajua.

Colin Wilson, mwanazuoni na mtafiti wa occult, anasema

Njia ni mali ya Zohali (Saturn), na rangi ya Zohali ni nyeusi.”

(The Black Arts, UK, p. 47)


Wilson anasema wazo la kwamba rangi nyeusi ya Kiswah si tu utambulisho Fulani bali ni ishara ya ibada za Saturn, mungu wa giza na ambaye ni kutoka dini za kale za kipagani.

Theosophy Trust inasema

Saturn's colour, black, and his emblem, the sarcophagus, accompany the soul as it emulates the planetary god's involvement in the feminine principle.(Saturn, p.2)

Hapa anasma rangi nyeusi na nembo ya sarcophagus inawakilisha maana ya mystical energy, ikionyesha kuunganishwa kwa nguvu za cosmic na kanuni za kike.,ndio maana chunguza ile alkaaba inakuwa kama ni uzazi wa kike

FB_IMG_1765297851825.jpg


Alexander Hislop anasema

“Islam, like other systems, absorbed symbols already sacred in the ancient world.

(The Two Babylons, p.343)

Hislop Uislamu kama mifumo mingine umebeba alama za kipagani za zamani .

maxresdefault (2).jpg

Al-Kaaba ni ibada za Babeli, akionyesha jinsi uislamu ulivyoingiza alama na mila za kipagani.
8a74fb_1a9a3090f70542d4ab12367e13638cdf~mv2.jpg


Albert Pike mwanazuoni wa freemason anasema

The black stone was a universal symbol of the generative principle long before Islam.”

(Moral and Dogma, p.221)

Pike anathibitisha kuwa Jiwe Jeusi lilikuwa alama ya nguvu ya uzazi na cosmic energy kabla ya Uislamu.

images (98).jpeg


Rudolf von Sebottendorff anasema

The sacred letters and stones are not mere decoration; they are living forces corresponding to cosmic realities.”

(Secret Practices of the Sufi Freemasons, p.41)

Hapa, Sebottendorff anathibitisha kuwa Jiwe Jeusi na Kiswah si mapambo tu, bali ni nyenzo zinazochangia nguvu za cosmic, zinazopatikana kwa wachache tu waliopitishwa.

Kwenye Uislamu Kuna kundi hasa la Sufi Freemason Hawa ndio wanaopewa Siri za ndani (ESOTERIC) ndio Hawa wanaotumia Quran kurogea ,kuita majini ,kutumia TALASIMU , wanakuwa pia na zile Symbols ambazo wewe maamuma huwezi kuzielewa .

Nitakupa mfano kama hizi 👇

FB_IMG_1770745178862.jpg


Panapo majaaliwa nitakuja wiki nzima kuwaelezea Hawa Sufism ndani ya Uislamu,Hawa ndio wanafahamika kwa kuujua ule uislamu wa ndani (ESOTERIC ISLAM)

Hawa ndio wanajua kucheza na Aya za Quran kwa kuroga mtu au kufanya ritual kama Albadil.

Hata zile HERUFI ambazo zipo ndani ya Quran zinasemwa haIjulikani maana yake Hawa wanajua kucheza nazo.

Geometry na Nyota za Hexagram

Richard C. Hoagland anasema

A Hexagon is a 2D projection of 2 interlocking 3D tetrahedrons one inside each other. Think of it as a 3D version of the Israeli flag or the Jewish Star.”(Hyperdimensional Hexagon, Coast to Coast)

Mchemraba wa Al-Kaaba unaambatana na Hexagram, alama inayojulikana katika Freemasonry na mystical symbolism.

FB_IMG_1770739625639.jpg



Webster’s Encyclopedia inasema

“Many of the world’s religious institutions conceal a deeper esoteric knowledge for initiates alone.” (UK, p.112)

Anasema kwenye hizi dini ni Wachache tu ndio wanapewa zile Siri za ndani .Nyie maamuma ambao ni wengi mtapewa zile maana rahisi tu kuwa hii ni ibada kwa Allah, n.k

Mfano Wachache waliopitishwa wanaona Al-Kaaba kama focal point ya esoteric knowledge, ikijumuisha cosmic forces, planetary energy, na alchemy.

Tawaf = planetary alignment
Jiwe Jeusi = sarcophagus ya Saturn
Kiswah = black magic symbolism
Hexagram na mchemraba = sacred geometry inayofundisha occult power

Biblia inatoa onyo

“They sacrificed unto devils, not to God; to gods whom they knew not, to new gods that came newly up, whom your fathers feared not.” (Yoshua 23:16)

Mungu anakemea ibada yoyote inayohusisha miungu ya giza au rituals za siri, akionyesha wazi hatari ya kuendeleza urithi wa paganism.
FB_IMG_1770739621984.jpg
FB_IMG_1765615942065.jpg
 
Hii ni Al-Kaaba ikiwa imetandwa shuka jeusi. Kiswah, kitambaa chenye aya za Qur’an zilizochorwa kwa uzi wa dhahabu, kimeundwa kwa vipande 41 na hubadilishwa kila mwaka.

(Kaaba History, Sabir Khan)

View attachment 3542147

Exoteric meaning (kwa waumini au Maamuma)

Hawa Mimi nawaita tabaka la chini,maamuma, huambiwa Al-Kaaba ni nyumba ya Mungu, ishara ya tauhidi, na Jiwe limekuwa Jeusi sababu ya dhambi za wanadamu.

Hadith inasema

The Black Stone descended from Paradise whiter than milk, but the sins of the children of Adam made it black.”(Sahih al-Bukhari, Kitabu 93, Hadith 512)

Hawa maamuma ,huambiwa hili Jiwe Jeusi lilipoteza rangi yake ya asili nyeupe kutokana na dhambi za wanadamu,hapo tayari Hawa maamuma wanakuwa wameshadanganywa ,ili Hali ile rangi nyeusi ni kile kitambaa (KISWA).


Al-Kaaba kama Urithi wa Kipagani (Esoteric meaning)

Sasa nije kwa upande wa wale wachache wanaopewa Siri ,achana na wale maamuma ,kama ninavyosema siku zote ,Kwenye hizi dini Kuna tabaka mbili, Esoteric na Exoteric meaning ya kila kitu, chunguza mwenyewe utajua.

Colin Wilson, mwanazuoni na mtafiti wa occult, anasema

Njia ni mali ya Zohali (Saturn), na rangi ya Zohali ni nyeusi.”

(The Black Arts, UK, p. 47)

Wilson anasema wazo la kwamba rangi nyeusi ya Kiswah si tu utambulisho Fulani bali ni ishara ya ibada za Saturn, mungu wa giza na ambaye ni kutoka dini za kale za kipagani.

Theosophy Trust inasema

Saturn's colour, black, and his emblem, the sarcophagus, accompany the soul as it emulates the planetary god's involvement in the feminine principle.(Saturn, p.2)

Hapa anasma rangi nyeusi na nembo ya sarcophagus inawakilisha maana ya mystical energy, ikionyesha kuunganishwa kwa nguvu za cosmic na kanuni za kike.,ndio maana chunguza ile alkaaba inakuwa kama ni uzazi wa kike

View attachment 3542150

Alexander Hislop anasema

“Islam, like other systems, absorbed symbols already sacred in the ancient world.

(The Two Babylons, p.343)

Hislop Uislamu kama mifumo mingine umebeba alama za kipagani za zamani .

View attachment 3542154
Al-Kaaba ni ibada za Babeli, akionyesha jinsi uislamu ulivyoingiza alama na mila za kipagani.
View attachment 3542152

Albert Pike mwanazuoni wa freemason anasema

The black stone was a universal symbol of the generative principle long before Islam.”

(Moral and Dogma, p.221)

Pike anathibitisha kuwa Jiwe Jeusi lilikuwa alama ya nguvu ya uzazi na cosmic energy kabla ya Uislamu.

View attachment 3542158

Rudolf von Sebottendorff anasema

The sacred letters and stones are not mere decoration; they are living forces corresponding to cosmic realities.”

(Secret Practices of the Sufi Freemasons, p.41)

Hapa, Sebottendorff anathibitisha kuwa Jiwe Jeusi na Kiswah si mapambo tu, bali ni nyenzo zinazochangia nguvu za cosmic, zinazopatikana kwa wachache tu waliopitishwa.

Kwenye Uislamu Kuna kundi hasa la Sufi Freemason Hawa ndio wanaopewa Siri za ndani (ESOTERIC) ndio Hawa wanaotumia Quran kurogea ,kuita majini ,kutumia TALASIMU , wanakuwa pia na zile Symbols ambazo wewe maamuma huwezi kuzielewa .

Nitakupa mfano kama hizi 👇

View attachment 3542166

Panapo majaaliwa nitakuja wiki nzima kuwaelezea Hawa Sufism ndani ya Uislamu,Hawa ndio wanafahamika kwa kuujua ule uislamu wa ndani (ESOTERIC ISLAM)

Hawa ndio wanajua kucheza na Aya za Quran kwa kuroga mtu au kufanya ritual kama Albadil.

Hata zile HERUFI ambazo zipo ndani ya Quran zinasemwa haIjulikani maana yake Hawa wanajua kucheza nazo.

Geometry na Nyota za Hexagram

Richard C. Hoagland anasema

A Hexagon is a 2D projection of 2 interlocking 3D tetrahedrons one inside each other. Think of it as a 3D version of the Israeli flag or the Jewish Star.”(Hyperdimensional Hexagon, Coast to Coast)

Mchemraba wa Al-Kaaba unaambatana na Hexagram, alama inayojulikana katika Freemasonry na mystical symbolism.

View attachment 3542170


Webster’s Encyclopedia inasema

“Many of the world’s religious institutions conceal a deeper esoteric knowledge for initiates alone.” (UK, p.112)

Anasema kwenye hizi dini ni Wachache tu ndio wanapewa zile Siri za ndani .Nyie maamuma ambao ni wengi mtapewa zile maana rahisi tu kuwa hii ni ibada kwa Allah, n.k

Mfano Wachache waliopitishwa wanaona Al-Kaaba kama focal point ya esoteric knowledge, ikijumuisha cosmic forces, planetary energy, na alchemy.

Tawaf = planetary alignment
Jiwe Jeusi = sarcophagus ya Saturn
Kiswah = black magic symbolism
Hexagram na mchemraba = sacred geometry inayofundisha occult power

Biblia inatoa onyo

“They sacrificed unto devils, not to God; to gods whom they knew not, to new gods that came newly up, whom your fathers feared not.” (Yoshua 23:16)

Mungu anakemea ibada yoyote inayohusisha miungu ya giza au rituals za siri, akionyesha wazi hatari ya kuendeleza urithi wa paganism.
View attachment 3542179View attachment 3542182

BORA UKOSE VYOTE LAKINI USIKOSE MAARIFA - Acha ujinga wa kuchafua dini za watu;
Kile kitambaa cha alkaaba kimekuwa kikibadishwa miaka baada ya miaka na hakuna mahala popote pameandikwa kuwa, lazima Alkaaba ifunikwe; Au lazima ifunikwe kwa kitambaa cha rangi flani. Ukifuatilia historia enzi za Ottaman Empire, Kaaba ilikuwa haifunikwi; baadae ikawa inafunikwa na kitambaa cheupe na miaka ya hivi karibuni ndio ikafunikwa kwa kitambaa cheusi....

HIVI HUNA KAZI NYINGINE ZAIDI YA KUTUNGA UPOTOSHAJI WA DINI YA KIISLAM?
ENDELEA NA UPOTOSHAJI SIKU ZA MWISHO YESU AKUKATAE NDIO UTAJUA HUJUI...
 
Acha ujinga wa kuchafua dini ya Kiislam;
Kile kitambaa cha alkaaba kimekuwa kikibadishwa miaka baada ya miaka na hakuna mahala popote pameandikwa kuwa, lazima Alkaaba ifunikwe; Au lazima ifunikwe kwa kitambaa cha rangi flani. Ukifuatilia historia enzi za Ottaman Empire, Kaaba ilikuwa haifunikwi; baadae ikawa inafunikwa na kitambaa cheupe na miaka ya hivi karibuni ndio ikafunikwa kwa kitambaa cheusi....

HIVI HUNA KAZI NYINGINE ZAIDI YA KUTUNGA UPOTOSHAJI WA DINI YA KIISLAM?
ENDELEA NA UPOTOSHAJI WAKO, SIKU ZA MWISHO YESU AKUKATAE NDIO UTAJUA HUJUI...
Punguza hasira kwanza Kisha njoo hapa
 
BORA UKOSE VYOTE LAKINI USIKOSE MAARIFA - Acha ujinga wa kuchafua dini za watu;
Kile kitambaa cha alkaaba kimekuwa kikibadishwa miaka baada ya miaka na hakuna mahala popote pameandikwa kuwa, lazima Alkaaba ifunikwe; Au lazima ifunikwe kwa kitambaa cha rangi flani. Ukifuatilia historia enzi za Ottaman Empire, Kaaba ilikuwa haifunikwi; baadae ikawa inafunikwa na kitambaa cheupe na miaka ya hivi karibuni ndio ikafunikwa kwa kitambaa cheusi....

HIVI HUNA KAZI NYINGINE ZAIDI YA KUTUNGA UPOTOSHAJI WA DINI YA KIISLAM?
ENDELEA NA UPOTOSHAJI SIKU ZA MWISHO YESU AKUKATAE NDIO UTAJUA HUJUI...
Hadith inasema

The Black Stone descended from Paradise whiter than milk, but the sins of the children of Adam made it black.”(Sahih al-Bukhari, Kitabu 93, Hadith 512)
 
Hadith inasema

The Black Stone descended from Paradise whiter than milk, but the sins of the children of Adam made it black.”(Sahih al-Bukhari, Kitabu 93, Hadith 512)

Labda nikusaidie kidogo....
Ibrahim baada ya kumwacha Ishmael na mama yake Jangwani (pale maka)
na mama yake kumlilia Mungu akamfanyia maji (chemchem) inayo julikana hadi leo kama Zamzam ambayo ndio maji watu wanayo kunjwa wakienda kuhiji.

Ibrahimu aliporudi kuwa angalia Ishmael na mama yake, Mungu alimuonesha aweke uelekeo wa watu wakati wa kufanya Ibada na ndipo Alkaaba ilijengwa kwa mara ya kwanza.
Baada ya kujenga; Ibrahim alisema, anahitaji kuweka alama hata siku moja Alkaaba ikimoboka watu waone mahala alipokuwa amejenga; na ndipo hapo alitafuta akapata jiwe la tofauti (Alama). kwa hiyo lile jiwe jeusi ni Alama tu Ibrahim aliweka......
Watu wanavyo gombea pale maka kuchungulia hilo jiwe; ile sio Ibada bali ni watu kutaka kuona jiwe ambalo mtume Ibrahim aliweka miaka hiyo. Kuliona au kutoliona haiadhiri chochote kwenye ibada ya hija.
Hiyo ndio historia fupi ya Al-kaaba
 
Labda nikusaidie kidogo....
Ibrahim baada ya kumwacha Ishmael na mama yake Jangwani (pale maka)
na mama yake kumlilia Mungu akamfanyia maji (chemchem) inayo julika hadi leo kama Zamzam ambayo watu hunywa maji yake wakienda kuhiji (maji tiba)
Ibrahimu aliporudi kuwa angalia Ishmael na mama yake, Mungu alimuonesha aweke uelekeo wa watu wakati wa kufanya Ibada na ndipo Alkaaba ilijengwa kwa mara ya kwanza.
Baada ya kujenga; Ibrahim alisema, anahitahi kuweka alama hata siku moja Alkaaba ikimoboka watu waone mahala alipokuwa amejenga; na ndipo hapo alitafuta akapata jiwe la tofauti (Alama). kwa hiyo lile jiwe jeusi ni Alama tu Ibrahim aliweka......
Hiyo ndio historia fupi ya kaaba
Kijana hizi ni propaganda za ndani ya Uislamu

Ibrahimu hajawahi kufika mecca wala kukanyaga

Usitapeliwe na wahuni

Hadithi ya Mecca, chemchem ya Zamzam, na Black Stone ni uongo wa Uislamu, siyo historia ya Kiebrania.
Ibrahimu hakuwahi kuona Mecca wala kujenga Alkaaba.
Kwa kuzingatia maandiko ya Biblia, Ibrahimu alitunukiwa na Mungu kuwa kielelezo cha ibada ya kweli, lakini hakuhusiana na Mecca, chemchem au jiwe jeusi lolote.
 
BORA UKOSE VYOTE LAKINI USIKOSE MAARIFA - Acha ujinga wa kuchafua dini za watu;
Kile kitambaa cha alkaaba kimekuwa kikibadishwa miaka baada ya miaka na hakuna mahala popote pameandikwa kuwa, lazima Alkaaba ifunikwe; Au lazima ifunikwe kwa kitambaa cha rangi flani. Ukifuatilia historia enzi za Ottaman Empire, Kaaba ilikuwa haifunikwi; baadae ikawa inafunikwa na kitambaa cheupe na miaka ya hivi karibuni ndio ikafunikwa kwa kitambaa cheusi....

HIVI HUNA KAZI NYINGINE ZAIDI YA KUTUNGA UPOTOSHAJI WA DINI YA KIISLAM?
ENDELEA NA UPOTOSHAJI SIKU ZA MWISHO YESU AKUKATAE NDIO UTAJUA HUJUI...
Kwanini akataliwe na YESU KRISTO wala si akataliwe na mwingine?
 
Labda nikusaidie kidogo....
Ibrahim baada ya kumwacha Ishmael na mama yake Jangwani (pale maka)
na mama yake kumlilia Mungu akamfanyia maji (chemchem) inayo julikana hadi leo kama Zamzam ambayo ndio maji watu wanayo kunjwa wakienda kuhiji.

Ibrahimu aliporudi kuwa angalia Ishmael na mama yake, Mungu alimuonesha aweke uelekeo wa watu wakati wa kufanya Ibada na ndipo Alkaaba ilijengwa kwa mara ya kwanza.
Baada ya kujenga; Ibrahim alisema, anahitaji kuweka alama hata siku moja Alkaaba ikimoboka watu waone mahala alipokuwa amejenga; na ndipo hapo alitafuta akapata jiwe la tofauti (Alama). kwa hiyo lile jiwe jeusi ni Alama tu Ibrahim aliweka......
Watu wanavyo gombea pale maka kuchungulia hilo jiwe; ile sio Ibada bali ni watu kutaka kuona jiwe ambalo mtume Ibrahim aliwe kamiaka hiyo. Kuliona au kutoliona haiadhiri chochote kwenye ibada ya hija.
Hiyo ndio historia fupi ya Al-kaaba
Muhammad alikuwa muongo sana

Kaa tulia Soma historia ya ibrahimu , waisrael wameiandika vzr sana, Soma jiografia ya maeneo yake ,Utagundua Muhammad alikuwa muongo na utaachana na uislamu

Mtu anapochunguza kwa makini jambo hili, ni vigumu sana kuamini kuwa Uislamu uko sahihi. Badala yake mtu unasukumwa kuwaza kwamba yamkini Muhammad alianzisha hadithi kama hizi ili kujipa uhalali wa kuwa mtume.

Hebu tutazame hadithi ifuatayo kisha tutajihoji wenyewe maswali kadhaa:

Katika Sahih Bukhari Bk 4, Vol 55, No. 583 tunasoma:

Narrated Ibn Abbas: The first lady to use a girdle was the mother of Ishmael. She used a girdle so that she might hide her tracks from Sarah. Abraham brought her and her son Ishmael WHILE SHE WAS SUCKLING HIM, to a place NEAR THE KA'BA under a tree on the spot of Zam-zam, at the highest place in the mosque. DURING THOSE DAYS THERE WAS NOBODY IN MECCA, NOR WAS THERE ANY WATER So he made them sit over there and placed near them a leather bag containing some dates, and a small water-skin containing some water, and set out homeward.

Maana yake ni kuwa:
Amesimulia Ibn Abbas: Mwanamke wa kwanza kutumia “girdle” (sijajua ni nini hii) alikuwa mama wa Ishmaeli. Alitumia “girdle” ili kuficha nyayo zake Sara asizione. Ibrahimu alimleta yeye pamoja na mwanawe wakati alipokuwa angali anamnyonyesha, hadi karibu na Kaabah chini ya mti, mahali pa Zamzam, mahali pa juu kabisa kwenye msikiti. Katika siku zile hakukuwa na mtu yeyote Makkah, na wala hakukuwa na maji. Kwa hiyo, aliwakalisha chini mahali pale na kuweka karibu yao mfuko wa ngozi wenye tende, na kiriba kidogo cha maji, kisha yeye akarudi nyumbani.

Loh!

Mtu akisoma hivi anaweza kudhani kuwa labda Ibrahimu alitoka nao nyumbani na kwennda nao mwendo wa kama dakika 5 au kumi na kwenda kuwaacha mahali.

Lakini acha tujifunze mambo kadhaa ya msingi sana ndipo turudi kwenye hadithi hii.

1. Ibrahimu hakuwa anaishi Saudi Arabia.
2. Alikuwa anaishi Kaanani karibu na Beersheba.
3. Huo ni umbali wa kilometa karibia 1,500.
4. Enzi hizo hakukuwa na magari.

Sasa hebu fikiria hata wewe mwenyewe:

Mzee wa watu huyu anabeba mwanamke mwenye kitoto kinachonyonya kisha akasafiri nao umbali huo wote (yamkini ni safari ya miezi kadhaa) kwenda mahali ambako:
1. alikuwa hajawahi kwenda
2. hakukuwa na hata tone la maji
3. hakukuwa na nyumba hata moja - maana
4. hakukuwa na mtu hata mmoja

Kisha mzee huyu akawaacha hao wawili hapo na yeye akafunga safari kurudi zake tena kilometa 1,500 hadi Beersheba.

Hivi ni kweli?

Sasa kwa nini Muhammad alikuwa akitunga mambo ambayo ni dhahiri hayana ukweli kiasi hiki?

Bila shaka lengo lake lilikuwa ni kujaribu kuipa dini yake hadhi na uhalali kwa kuihusisha na watu muhimu kama Ibrahimu. Lakini pia Muhammad kwa kuwa alijiita mtume wa Mungu, alifanya kila juhudi kujiungamanisha na mitume wa kweli ili na yeye azidi kukubalika na wale waliomfuata.

Lakini ukweli ni upi?

Tunasoma katika Biblia Mwanzo 16:15-16

Hajiri akamzalia Abramu mwana wa kiume; Abramu akamwita jina lake Ishmaeli, yule mwanawe, ambaye Hajiri alimzaa. Naye Abramu alikuwa mtu wa miaka themanini na sita, hapo Hajiri alipomzalia Abramu Ishmaeli.

Kisha pia tunasoma Mwanzo 21:5
Naye Ibrahimu alikuwa mtu wa miaka mia, alipozaliwa mwana wake Isaka.

Maana yake ni kuwa wakati Isaka anazaliwa, Ishameli alikuwa na umri wa miaka 14. Hapa yeye na mama yake walikuwa bado wako nyumbani kwa Ibrahimu.

Tunajuaje hilo?
Tunajua kwa kuwa sababu iliyochochea wao kufukuzwa ilikuwa ni hii:

Mwanzo 21:8-9
Mtoto akakua, akaachishwa kunyonya; Ibrahimu akafanya karamu kuu siku ile Isaka alipoachishwa kunyonya. Sara akamwona yule mwana wa Hajiri Mmisri, ambaye alimzalia Ibrahimu, anafanya dhihaka.

Yaani:
Isaka ameachishwa ziwa.
Hapa inawezekana ni miaka kati ya miwili hadi mitatu baada ya kuzaliwa.
Hapo ndipo huyu Ishmaeli alipomfanyia dhihaka Sarah.

Ina maana hapo Ishmaeli ana miaka kwenye 16 – 17.

Kutokana na dhihaka hiyo, ndipo Sarah akamwambia Ibrahimu:
Mfukuze mjakazi huyu na mwanawe, maana mwana wa mjakazi hatarithi pamoja na mwanangu, Isaka (mwanzo 21:10).

Na kesho yake Ibrahimu alipowaondoa nyumbani, hakuwasindikiza kokote:
Imeandikwa:
Ibrahimu akaamka asubuhi na mapema akatwaa mkate na kiriba cha maji, akampa Hajiri akimtwika begani pake, na kijana, akamruhusu; naye akatoka, akapotea katika jangwa la Beer-sheba. (Mwanzo 21:14)

Kumbe basi:

Si kweli kama asemavyo Muhammad kuwa Hajiri aliondoka wakati akimnyonyesha Ishmaeli. Na si kweli kwamba Ibrahimu aliwapeleka Makkah. Kwa hiyo, hata habari ya kwamba Ibrahimu aliwahi kufika Makkah ni uongo kabisa.

Ndugu Mwislamu,
Karibu kwa Yesu maana Yeye peke yake ndio Njia, Kweli na Uzima.
 
Back
Top Bottom