Al Jazeera: Hivi ndivyo Wachina wanavyotuona sisi. Nimesikitika na kuumizwa sana na Jambo hili

Miaka ya hivi karibuni tumekuwa upande sana wa China dhidi ya Wazungu. Kila sehemu tumesifia na kumtetea Mchina tukiwaponda Wazungu.

But kumbe wao wanatuona sisi ni hamnazo? Hatuna kitu? Weupe kichwani? Ni ugonjwa wa kiakili? Si sawa.

Miaka yote tunawaita wazungu makafir na wanaendelea kustawi na wanatuheshimu maana tunakimbilia nchi zao kuomba hifadhi na kutaka kuishi huko kuliko China.

But hawa wazungu hawatuoni sisi ni kama ugonjwa yaani Dini hii ya Allah na sisi na majini. Wanatuona ni kama kansa tu.

View attachment 2944391
Sasa mbona umeandik wachina wanavotuona sisi, na si wanavokuona wewe
 
Kuna vingine vinaaminika na ni applicable na vinasaidia kushape jamii kwa namna moja ama nyingine.

Ila kuna vingine inshitajika imani kali kuviamini, kuna jamaa aliniambia eti ule upinde wavua ni jini gani sijui shetani gani kapewa adhabu ya kutoa ulimi nje, na ile kutoa ulimi nje ni kutaka maji maana kawekwa sehemu kame sijui juani sijui wapi.

Daah nikawaza hivi huyu kaaminije hii kitu.
Alikuona onaje vile 😄😄😄??
 
Miaka ya hivi karibuni tumekuwa upande sana wa China dhidi ya Wazungu. Kila sehemu tumesifia na kumtetea Mchina tukiwaponda Wazungu.

But kumbe wao wanatuona sisi ni hamnazo? Hatuna kitu? Weupe kichwani? Ni ugonjwa wa kiakili? Si sawa.

Miaka yote tunawaita wazungu makafir na wanaendelea kustawi na wanatuheshimu maana tunakimbilia nchi zao kuomba hifadhi na kutaka kuishi huko kuliko China.

But hawa wazungu hawatuoni sisi ni kama ugonjwa yaani Dini hii ya Allah na sisi na majini. Wanatuona ni kama kansa tu.

View attachment 2944391
Wachina wako straight to the point hata ukristo unatuchelewesha sana waafrica kwenye maendeleo... Dini zinatufanya tubweteke tukiamini hatuhitaji juhudi tukimwomba tu Mungu atatupa, Rubbish.
 
Miaka ya hivi karibuni tumekuwa upande sana wa China dhidi ya Wazungu. Kila sehemu tumesifia na kumtetea Mchina tukiwaponda Wazungu.

But kumbe wao wanatuona sisi ni hamnazo? Hatuna kitu? Weupe kichwani? Ni ugonjwa wa kiakili? Si sawa.

Miaka yote tunawaita wazungu makafir na wanaendelea kustawi na wanatuheshimu maana tunakimbilia nchi zao kuomba hifadhi na kutaka kuishi huko kuliko China.

But hawa wazungu hawatuoni sisi ni kama ugonjwa yaani Dini hii ya Allah na sisi na majini. Wanatuona ni kama kansa tu.

View attachment 2944391
Je ni uongo?
 
Wachina wako straight to the point hata ukristo unatuchelewesha sana waafrica kwenye maendeleo... Dini zinatufanya tubweteke tukiamini hatuhitaji juhudi tukimwomba tu Mungu atatupa, Rubbish.
Kweli eeeeeeh.... Sawa sawa.
 
Back
Top Bottom