Kulingana na imani ya dini ya kiislam Al Badil husomwa na madhara huwapata wahusika wa tukio fulani. Mh. Paul Makonda amekuwa akituhumiwa kwenye mitandao ya kijamii bila ushahidi kama muhusika.
Hadi sasa hatuoni matokeo ya Al Badil, je ilikuwa siasa?
Hadi sasa hatuoni matokeo ya Al Badil, je ilikuwa siasa?