Wenye updates za Yanga please tujuzeni
Kweli mazee cc wengine tupo vijijini hatuoni azam n i wish to know the results
mi nacheki kupitia azm tv
kuna tukio limetokea uwanjani sijui ilikua muda gani lakini wamefanya replay ameoneka kipa wa yanga amefukia kitu gorini kwake baadae akaonekana mchezaji wa ely ahaly akikitafuta kitu hicho. Inawezekana walikipata ndo goli likaingia