hahaha! Afu wewe!! Tusiandikie mate! Ole wako!
Hadi muda huu Bila bila Mkuu!!Mechi imeisha bilabila
Njoo penseli ipo hapa.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahaha! Namiye naunga mkono na miguu wapigwe tu! Tuheshimiane mana hatupumui!! We Rogie em kuja hapa!
Naomba kujua ni TV gani zitaonesha mechi ya yanga
Habari za bunju kazi inaendeleaje huko leo ni siku ya tisa jaman vip watu wanajitokeza kama walivyo jitokeza kujenga jengo la club pale kwenye msonga mano?