Al Ahly SC vs Young Africans, Mar 09, 2014 – Live Stream

Al Ahly SC vs Young Africans, Mar 09, 2014 – Live Stream

Wala sijui... Hivi Taifa Stars na Namibia nani alishinda? nasikia matokeo mawili tofauti...

Hahahaha unatafuta ugomvi na Kilakshari ... atashangaa matokeo ya taifa stars hujui ila ya 76er unayafahamu vizuri.... Tanzania tulitoka sare 1-1 ... kwani wewe umesikia vipi?

Back to the topic: Yanga kesho lazima heshima iwepo mjini
 
Hahahaha unatafuta ugomvi na Kilakshari ... atashangaa matokeo ya taifa stars hujui ila ya 76er unayafahamu vizuri.... Tanzania tulitoka sare 1-1 ... kwani wewe umesikia vipi?

Back to the topic: Yanga kesho lazima heshima iwepo mjini

Kilakshari atakuwa alichukia.... nilisikia tuliwagonga 1-0 kwao....76ers michosho ovyo kama Man utd
 
ngoja kwanza liishe hili la waarabu....
Yaani nyie simba mbulula kweli mnaacha kwenda bunju kufyeka uwanja mnakaa kuwashabikia tim bak alahly Hivi mashabiki wote waliokuwa uwanjani siku ya mechi ya yanga na Alahly wangetumia nguvu zao kwenda kufanya kazi bunju na Viingilio walivyotumia wange vipeleka Kwenye Club hata vikatumika kununulia Mafyekeo au hata mashoka mana niliona picha moja hata vitendea kazi vilikuwa havitoshi Simnge piga hatua Bunju? Ila tunawashukuru kwakuhudhuria uwanjani mana mmeiongezea Yanga mapato japo mling'oa Viti.
 
Kilakshari atakuwa alichukia.... nilisikia tuliwagonga 1-0 kwao....76ers michosho ovyo kama Man utd

Walirudisha goli dakika za majeruhi{refa alikuwanimtu wa Namibia}

Zile links zako za mazabe ukiziotea kesho ambazo zitaonyesha game la mabingwa wapya wa Africa nijulishe
Deo Corleone kuwa mzalendo kesho shabikia timu ya wananchi
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mimi nipo AZAM FC. MIKIA NDO WAMEIBA VITI PALE TAIFA WAMEPELEKA SHAMBANI BUNJU! WIKI IJAYO TUNAENDA KUKAGUA KULE OLE WAO TUKUTE VITI VYA UWANJA WA TAIFA

To me ..... Azam TV, sorry, Azam FC na Mikia yote dugu moja na yote adui ya TeamYanga! Yote bili bovubovu tu! Yote hakuna maana kabisa!
 
najua waarabu hawana masihara.......lazima yeboyebo warudi vichwa chini hapa...na watapoteana tu......airport Dsm kila mmoja na njia yake..

waarabu si watu wa masikhara hata kidogo- yanga lazima wakalie tu--heshima itarudi tu wewe subiri uone.
 
zile links sijui kama zitaonyesha mechi za Afrika labda kuziotea, DonDonald
 
Miongoni mwa sababu baada ya kutolewa hizi zitakuwepo! Refa katunyonga! Wametufanyia fitina! Wametubadilishia mji ghafla kwenda Alexandria hivyo tumeathirika kisaikologia! Hali ya hewa hatukuizoea! Wametutoa mchezoni kukataza mashabiki!! etc.
Waandishi wao wataandika...! Wamekufa kiume! Kocha akikosea sub! n.k!! Tusubiri ....!
 
Yaani nyie simba mbulula kweli mnaacha kwenda bunju kufyeka uwanja mnakaa kuwashabikia tim bak alahly Hivi mashabiki wote waliokuwa uwanjani siku ya mechi ya yanga na Alahly wangetumia nguvu zao kwenda kufanya kazi bunju na Viingilio walivyotumia wange vipeleka Kwenye Club hata vikatumika kununulia Mafyekeo au hata mashoka mana niliona picha moja hata vitendea kazi vilikuwa havitoshi Simnge piga hatua Bunju? Ila tunawashukuru kwakuhudhuria uwanjani mana mmeiongezea Yanga mapato japo mling'oa Viti.

Hebu nikuulize mkuu
1. Unatumia kigezo gani kwamba mashabiki wa Simba walikuwa uwanjani?
2. Kama jibu lako ni rangi ya jezi..je..al ahly walikuwa na jezi za rangi gani? Na je Simba ni team pekee inayovaa rangi nyekundu??
3. Una ushahidi wa kutosha/ a proof beyond reasonable doubt kwamba waliong'oa viti ni mashabiki wa Simba?
 
Habari za bunju kazi inaendeleaje huko leo ni siku ya tisa jaman vip watu wanajitokeza kama walivyo jitokeza kujenga jengo la club pale kwenye msonga mano?

Hakuna cha Bunju kujenga uwanja au nini, NIA yao wapenzi wa Simba wasiende uwanjani kuongeza mapato ya Yanga japo wantaishangilia Al Ahly, uwanja gani kujenga siku 100? Labda wa makuti, na hawajaenda tena na mapato yakawa 484M na Yanga ikapata 234M, Simba mapato yao na Ruvu wakaambulia 4M ndiyo maana hawana mishahara ya wachezaji.
 
Kama Mungu ametupangia kushinda kesho tutashinda nyie haters ndio mjiandae kujifungia ndani. Hapana chezeya Yanga halafu mbaya zaidi njia ya kwenda makao makuu lazima tupite kwenu, tutaganda pale kwa muda tuwaudhi vizuri.
 
Kama Mungu ametupangia kushinda kesho tutashinda nyie haters ndio mjiandae kujifungia ndani. Hapana chezeya Yanga halafu mbaya zaidi njia ya kwenda makao makuu lazima tupite kwenu, tutaganda pale kwa muda tuwaudhi vizuri.
ahaahaa..tukiganda pale kwa muda...sijui watang'oa nn waturushie.
 
Back
Top Bottom