Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 617
Taarifa zinasema kwamba yule jamaa aliyejitambulisha kuwa ndiye Brigedia Jenerali Sulaiman Al Adawi, Mmiliki wa Dowans anatajwa kutembelea mitambo ya Dowans Ubungo....
Kazi kwenu waandishi makini na wapiga picha, naambiwa hapo atakaa kwa mapozi apigwe picha vizuri ili apate publicity kama kiongozi wa nchi..... duh Watanzania ni kiboko
Kazi kwenu waandishi makini na wapiga picha, naambiwa hapo atakaa kwa mapozi apigwe picha vizuri ili apate publicity kama kiongozi wa nchi..... duh Watanzania ni kiboko