Akutwa amefariki akiwa amevaa kondomu

Akutwa amefariki akiwa amevaa kondomu

Amekufa na kinga yake, itamsaidia mbele ya safari, lakini nahisi kama ameuawa RIP marehemu
 
Chazo cha kifo hakijafahamika wakati vitendea kazi wamemkuta navyo!? Police bana kwa kucomplicate mambo.
Huyo alikutana na mdada aliyepita jando/unyago akanogewa haswaa...hadi umauti. R I P
 
Tupe details mtaalamu maana umebobea kwenye hayo manyaunyau..
Kuna mizimu majini na mashetani wa kike ambao hawana mahusiano ya kingono na wenza wao kwahiyo wanapohitaji hujitokeza kama mwanamke mrembo
Mara nyingi victims wao ni wale zoazoa umekutana na mwanamke humjui unamtongoza hapo hapo na kukubaliwa hapo hapo...
Mkienda huko mkafanya yenu mkamaliza ili asinogewe akutafute tena hukuua....
 
Kuna mizimu majini na mashetani wa kike ambao hawana mahusiano ya kingono na wenza wao kwahiyo wanapohitaji hujitokeza kama mwanamke mrembo
Mara nyingi victims wao ni wale zoazoa umekutana na mwanamke humjui unamtongoza hapo hapo na kukubaliwa hapo hapo...
Mkienda huko mkafanya yenu mkamaliza ili asinogewe akutafute tena hukuua....
Wahehe wana kitu kinaitwa Lutambulilo, kama humuamini mkeo unamtegeshea kimazingara then akichepuka tu yule mwanaume anapopiga bao ndo na uhai wake unatoka na hilo bao.

Ni kama ushirikina fulani hivi kama ule wa kunasiana
 
Kuna mizimu majini na mashetani wa kike ambao hawana mahusiano ya kingono na wenza wao kwahiyo wanapohitaji hujitokeza kama mwanamke mrembo
Mara nyingi victims wao ni wale zoazoa umekutana na mwanamke humjui unamtongoza hapo hapo na kukubaliwa hapo hapo...
Mkienda huko mkafanya yenu mkamaliza ili asinogewe akutafute tena hukuua....
Haya sasa mazoazoa piteni hapa msome na kuelewa kabla hamjafa na soksi miguuni.
 
kufa kwa namna hio kupo
mwanaume akipata raha kupitiliza anaweza kufa (wakati wa sex)
 
Mshahara wa Dhambi ni Mauti
Kwa namna yoyote lazima atakuwa aliumwa na Nyoka.Sasa mwezie kuamua kukimbia
Nyenge hatari sana,unaweza kwenda sehema tata kweli bila woga.
 
Kuna mizimu majini na mashetani wa kike ambao hawana mahusiano ya kingono na wenza wao kwahiyo wanapohitaji hujitokeza kama mwanamke mrembo
Mara nyingi victims wao ni wale zoazoa umekutana na mwanamke humjui unamtongoza hapo hapo na kukubaliwa hapo hapo...
Mkienda huko mkafanya yenu mkamaliza ili asinogewe akutafute tena hukuua....





Mshana mizimu gani inataka kondomu? Kwavyovyote vike mizimu itakuwa inapenda mbegu za motomoto ziingie kwenye papuchi
 
Back
Top Bottom