Akutwa amefariki akiwa amevaa kondomu

Akutwa amefariki akiwa amevaa kondomu

Wangoni bana..ndio maana hata tendo likaitwa "Ngonoka" yaani tendo la "Kingoni"
Hapa Mngoni kafia kwenye "Taaluma" yake.
Huyu atakuwa alikunywa "mkuyati" au "Kasongo" ya Kikongo,hii ni zaidi ya Viagra manina kabisa
Tatizo vijana wanaramba Mkuyati na Kasongo bila kumix na maziwa...Ukali wa hii dawa unataka u-dilute kidogo na maziwa...Upumzike kwa Amani Bambo
 
Back
Top Bottom