Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Ndio mtie akili, mimi siingiliki kirahisi!
Mh ngoja nikupiemu namimi lol
Ndio mtie akili, mimi siingiliki kirahisi!
Umesahau leo ijumaa?
Ndio mtie akili, mimi siingiliki kirahisi!
asikutishe huyo zinduna,hapa kwa bishanga kafika,mi mtambo wa chuma,majini yote ya bahari,anga,ardhini kwangu yanapiga saluti,kudadadadadeki ccm hoyeee,nambie BT, zinduna nimchane nisimchane?tobaaaaaaaaaaaa..... Hilo jina la mwisho mmmmmh...... To......??????
asikutishe huyo zinduna,hapa kwa bishanga kafika,mi mtambo wa chuma,majini yote ya bahari,anga,ardhini kwangu yanapiga saluti,kudadadadadeki ccm hoyeee,nambie BT, zinduna nimchane nisimchane?
we zinduna wewe,unamtisha nani hapa? Ulikolalia ndiko nilikoamkia,manga pwani pemba wakujua weye? NitakuPM mpaka unizalie mtoto!
Umerudi? Wewe ni DHAIFU. Umeshndwa kucmamia maamuzi yako
Bora tulionyaza eeh
Kuna mtu hapa lazima nimsomee HALBADRI!
Na sijui kama ataumaliza mwaka huu, maana kazidi mno kuni-PM akitaka kunitia katika dhambi, kama alikuwa hajui, basi mie ni mtoto wa Sheikh Sayed Mabrouk Bin Mahmood Barghashish Burhan Tombya na ajue salama yake ili kuepuka dhoruba ni kuniomba radhi hadharani hapa hapa JF na sio kwa PM.
Nimemaliza na sitaki maswali.
Napita tu jamani, ila msisahau kutumia dawa ya penzi
Wewe vp? Ndo umeandka nini hapo? Au tayari povu limekolea?
Hahahaa kazi ya ndofu hiyo