Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 27,583
- 71,930
Mkane hapa uone kama hayo macho hayajauma 😂Naingiaje hapa? Halafu mbona mnapa promo sana huyu Mshamba?
Mkane hapa uone kama hayo macho hayajauma 😂Naingiaje hapa? Halafu mbona mnapa promo sana huyu Mshamba?
Sijakuelewa mandevu yapoje?umenielewa sana wacha fujo bwana.
Jichanganye uone unavyojificha jua na kivuli changukumbe we mfupi...😂
usije tena kwenye vikao
Ndevu nyingiii na zisizokua na mpangilio yaan zipo zipo tu.Sijakuelewa mandevu yapoje?
Ndo unifokee?Naingiaje hapa? Halafu mbona mnapa promo sana huyu Mshamba?
Nnavyouliza kama nmepata mwaliko kutoka kwako 😅Ndevu nyingiii na zisizokua na mpangilio yaan zipo zipo tu.
Jichanganye uone unavyojificha jua na kivuli changu
Oi Iyo pisi ushakula nn mbona inakutemea shombokazi kweli kweli
Akivaa kisabato ama yale mavazi ya washamba wa kilokole asee sitaki hata apite mbele yangu, unakuta mdada mzuri tu lakin mpangilio wa mavazi ni SIFURI katupia mgauni wa pinki as if wakala wa Tanesco hawa sina mda nao, hata kama nilikuwa namlia timing akakubali dating/mtoko haloo nitacancel hiyo dating.
Ama kuna wale wadada wa magauni as if anakwenda kufanya show ya kitchen part gauni kama pazia la mashineni hawa nao sitaki hata wakae siti moja namimi kwenye daladala.
Bila kuwasahau wale wanawake wanao fake muonekano kwa mawigi isiyoendana nae unakuta mdada mwembamba kama Nguzo ya bendera alafu katupia icho kiwigi kimekomaa mpaka unajiuliza huyu nae kabebaje kuku kichwani, au wale wadada wa heavy make up mpaka unashindwa kutofautisha kuwa huyu ni mwanadamu ama kinyago cha mpapula kilichowekewa mabetri kinatembea mitaani.
Wadada wajitathimin kimavazi, kila nguo uendane na safari/sehemu ya mtoko, nguo za kanisan/msikitin usivae dating places kama club, bar, hotels,migahawa, au nguo za mid night club usizavae safarini, jitathimini umbo lako la mwili na aina ya mavazi unayotaka kuvaa.
La mwisho wanawake mjiamini sio kila mwanaume anapendelea makalio na ngozi nyeupe, kuna wengine wanapendelea vipotabo na weusi asilia sio huo wa makeup mi lip-shine na mikucha bandia kama litoto la jini linalonyonyesha damu.
Hapo ndio atajua nan mufupi 😂
njoo na id yako ya zamaniOi Iyo pisi ushakula nn mbona inakutemea shombo
Au uko na mandevu?Nnavyouliza kama nmepata mwaliko kutoka kwako
Niko na ndevu sio mandevu 😎Au uko na mandevu?
Wanaume warefu mpewe maua yenu. Mbinguni mko na siti zenu maalumHapo ndio atajua nan mufupi
hizo sawa.Niko na ndevu sio mandevu
Ndo swal nimekuuliza?njoo na id yako ya zamani
wewe utakua mwana selfika
Je kama ni tall dark but not handsome? Mimi nimelack kimoja tu. Kuna uwezekano wa kupendwa na madada au nitafute tu hela!!?Basi tu me ndo nawapenda bila sababu eti
SimjuiMkane hapa uone kama hayo macho hayajauma 😂