Akiwa kwenye hali/ muonekano upi huwezi toka naye kimapenzi?

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
May 3, 2022
5,839
10,076
Kwa pande zote mbili

Kuna muda unamuona mwanamke (Kwa sisi wanaume) ama mwanaume (Kwa wanawake) anakuwa kwenye muonekano fulani ambao binafsi unaona noma kumtokea / kumsaundisha (Kwa ME), ama kujitongozesha (Kwa KE).

Au huenda uko naye kimahusiano. Anatokea kakuomba mtoke, ukimtizama jinsi alivyo alivyo tu, unahisi atakutia aibu mtaani.

Akiwa katika hali ipi huwezi mpa nafasi?
 
Binafsi, akivalia mwanamke akivalia kipensi, akivaa suruali akaivalia tumboni ama kifuani ikiwa na kile kijimkanda, akivaa tisheti ambayo mikono yake haipo sokoni, yaani unakuta imemwagika mpaka kero, akivaa viatu vya manyoya au yale masendo mapana kama mayeboyebo fulani hivi.

Simu yake akitia cover lenye masikio ama micheni cheni, aliyevalia jipensi ndani akalifanya taiti, hasa hasa la Chelsea au Yanga, aliyesuka mitindo ya kwenda kulina nzige, mwenye vingongingo, aliyevalia kitenge ndani ya dera, aliyebeba kibegi kinachoangukia wowowo huku mikanda yake ikipita mabegani, mweupe peee. Hawa wote wanipite kushoto tu.
 
Kwa pande zote mbili

Kuna muda unamuona mwanamke (Kwa sisi wanaume) ama mwanaume (Kwa wanawake) anakuwa kwenye muonekano fulani ambao binafsi unaona noma kumtokea / kumsaundisha (Kwa ME), ama kujitongozesha (Kwa KE).

Au huenda uko naye kimahusiano. Anatokea kakuomba mtoke, ukimtizama jinsi alivyo alivyo tu, unahisi atakutia aibu mtaani.

Akiwa katika hali ipi huwezi mpa nafasi?
Pisi zinazovaaga vikuku huwa na changamoto nyingi sana
 
Anaevaa Kikuku hapana aisee hata vyovyote ni jau,


ila kwenye vazi mbona atachoka mwenyewe maana ni kizungu zaidi ya mzungu anavyotokelezea mi sina vipengele kabisa ajiachie tu anavyotaka as long as hatuendi church basi ajipigilie anavyotaka iwe kisabato, kiustadhat au ki- Ibiza mi sina neno
 
Kwa pande zote mbili

Kuna muda unamuona mwanamke (Kwa sisi wanaume) ama mwanaume (Kwa wanawake) anakuwa kwenye muonekano fulani ambao binafsi unaona noma kumtokea / kumsaundisha (Kwa ME), ama kujitongozesha (Kwa KE).

Au huenda uko naye kimahusiano. Anatokea kakuomba mtoke, ukimtizama jinsi alivyo alivyo tu, unahisi atakutia aibu mtaani.

Akiwa katika hali ipi huwezi mpa nagas!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom