JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,314
- 5,478
Zile mil 90 alizokwapua mstaafu atazilipa au inakuwaje ??Mwanasiasa Lengai Ole Sabaya ambaye alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, amewaomba msamaha wote aliwakosea na kusema amewasamehe wale wote waliomkosea.
Amesema hayo katika Kanisa la Ebenezer Restoration Ministry For All Nations Jijini Arusha katika ibada ya shukrani, leo Jumapili Februari 4, 2024.
Sabaya amesema hataendeleza vita na maadui zake, bali anawaachia Mungu. Pia amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mifumo ya haki na usawa nchini.
Ikumbukwe Aprili 5, 2023 Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi ilimwachia huru Sabaya baada ya kukiri kosa la kula njama pamoja na makosa mbalimbali yaliyokuwa yakimkabili.
Pia Sabaya aliachiwa huru kwa kesi nyingine mbili za matumizi mabaya ya madaraka na uhujumu uchumi, zilizoendeshwa jijini Arusha.
Chanzo: Mwananchi
Wamemsamehe mioyo imekuwa na amani. Kusamehe kuzuriHao wanaopiga makofi na kushangilia wana maana gani 😂😂
Hii nchi hii
Sabaya alifanya unyama mkubwa sana na kuna watu wamekuwa vilema kwa ajili yake. Ikipitikana serikali yenye kujali wananachi huyu lazima ashitakiwe tena upya.Hao wanaopiga makofi na kushangilia wana maana gani 😂😂
Hii nchi hii
Maadui zake kina nani?Sabaya amesema hataendeleza vita na maadui zake
Hivi kumbe ukifika mahakamani ukasomewa mashtaka halafu ukakiri kosa inawezekana kuachiwa huru kabisa?Ikumbukwe Aprili 5, 2023 Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi ilimwachia huru Sabaya baada ya kukiri kosa la kula njama pamoja na makosa mbalimbali yaliyokuwa yakimkabili.
Pia Sabaya aliachiwa huru kwa kesi nyingine mbili za matumizi mabaya ya madaraka na uhujumu uchumi, zilizoendeshwa jijini Arusha.
Anatafuta kiki ili akawe msaidizi wa mweneziAmesema hayo leo Jumapili Februari 4,2024 katika Kanisa la Ebenezer Restoration Ministry For All Nations, lililopo jijini Arusha katika ibada ya shukrani.
Sabaya amesema hataendeleza vita na maadui zake, bali anawaachia Mungu. Pia amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mifumo ya haki na usawa nchini.
Sabaya alifanya unyama mkubwa sana na kuna watu wamekuwa vilema kwa ajili yake. Ikipitikana serikali yenye kujali wananachi huyu lazima ashitakiwe tena upya.
na wale aliowapora pesa arudishe.View attachment 2894068
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amewaomba msamaha wote aliwakosea na kusema amewasamehe wale wote waliomkosea.
Amesema hayo leo Jumapili Februari 4,2024 katika Kanisa la Ebenezer Restoration Ministry For All Nations, lililopo jijini Arusha katika ibada ya shukrani.
Sabaya amesema hataendeleza vita na maadui zake, bali anawaachia Mungu. Pia amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mifumo ya haki na usawa nchini.
Ikumbukwe Aprili 5, 2023 Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi ilimwachia huru Sabaya baada ya kukiri kosa la kula njama pamoja na makosa mbalimbali yaliyokuwa yakimkabili.
Pia Sabaya aliachiwa huru kwa kesi nyingine mbili za matumizi mabaya ya madaraka na uhujumu uchumi, zilizoendeshwa jijini Arusha.