Akitoa mimba utamsamehe?

Akitoa mimba utamsamehe?

Duh,inaonekana mna migogoro isiyo ya msingi hapo hamuez kuwa na future bado mnacheza,yaani kama unaweza kumtuhumu hvo alafu na yeye akatoa hapo hamna watu kwan mna miaka mingap samahn kwa maswal yangu
Mitatu mkuu,ila hatujaoana bado
 
Mimi hapo mimba hata hainihusu, ishu ni laki hiyoooo..... zangu ndio la msingi kwanza
 
Mitatu mkuu,ila hatujaoana bado
Asee kama hamuez kuwa serious bas tafta mtu anayejielewa nnachokiona hapo hamjawa serious
Kwanza kitendo cha kuchukua fedha yangu bila idhini ukafanye mambo yako hta ingekuwa kununua chupi n kosa la Kenai
Pili kutoa mimba et kisa amekasirika sasa kuna siku atauza mechi akikasirika
Inshort kama umeshakuwa mtu mzima jitahd kuwa serious otherwise utakuwa unaleta nyuz daily
 
Asee kama hamuez kuwa serious bas tafta mtu anayejielewa nnachokiona hapo hamjawa serious
Kwanza kitendo cha kuchukua fedha yangu bila idhini ukafanye mambo yako hta ingekuwa kununua chupi n kosa la Kenai
Pili kutoa mimba et kisa amekasirika sasa kuna siku atauza mechi akikasirika
Inshort kama umeshakuwa mtu mzima jitahd kuwa serious otherwise utakuwa unaleta nyuz daily
Nimekupata mkuu
 
A: Logic ni ndogo tu hapo Mkuu.Huyo anayetoa mimba na unampenda sababu inaweza kuwa ( mojawapo);

1.anajiona mzuri,
2.huna vision and mission ya maisha,
3.umechoka mbaya,
4.bado ana soma,
5.akili haijapevuka,
6.we ni mapepe/hujatulia
7.yeye ni full mapepe/hajatulia,
8.bado umri wa kuzaa na kuolewa
9.imani tofauti za dini,
10.mmepishana sana umri
11.una sura kama ya kenge,
12.over weight kama big show wa mieleka,huna mazoezi/stamina,
13.kati yenu kuna mchawi,
14.kati yenu kuna full mnuka midomo/vikwapa/sehemu za siri(uchafu),
15.historia ya magonjwa ya kurithi,
16.mnaishi mbali,
17.hupigi vitu kiume ingawa mbegu unazo,
18.u-dwarfism,
19.una ugonjwa wa kisasa,
20.una kibamia/miguu wa mtoto,
21.ana bwawa,
22.we ni mtu wa show up,
23.mkali/mkorofi kama akina muraa,
24.mlevi kupindukia,
25.mvivu wa kufanya kazi,
26.mpenda starehe,
27.umezaa zaa ovyo watoto wengi wa mama tofauti,
28.family background mfano maisha mazuri,halafu we choka mbaya,
29.anakutumia ili afanikishe malengo yako mfano kusoma/kumfundisha masomo,
30.kuna mtu anamdanganya atamweka ndani kimojaa,
31.huenda wewe hu-promise kuoa,
32.mlafi,kula sana,ubinafsi n.k,

n.k....nk....nk...unaweza kuongezea sababu zingine kadhaa.

B: Ambaye hujamfia lakini anataka umzae huenda ni kwa sababu zifuatazo;
1.amekupenda tu,
2.una maisha mazuri,
3.amechezea sana mipini ya kila aina na kuwa screpa,sasa anaona liwalo na liwe,akikupata wewe tayari katoa nuksi.
4. Mgonjwa mfano ngom,
5.UNAWEZA KUZIGEUZA SABABU ZA "A"ZIKAWA KWA AMBAYE HUJAMFIA ANATAKA MZAE.

n.k....n.k...n.k....ongeza sababu zingine.

Ingawa sisi wanaume huwa hatuangalii,bali chochote chenye dalili ya kuwa na uke tunawaka tamaa ile mbaya,kujilaumu ni baada ya kitendo.

Kazi kweli karne hii.Tumwombe Mungu atuepushe na sintofahamu za ulimwengu huu.

My take: Mkuu SK2016,sijasema hizi ni SIFA zako (sio wewe)bali nimezungumzia kiujumla jumla tu(after quoting you).


Dah! Umeongea point kubwa sana kwangu.

Yaani wale usiopenda kuweka makazi ndiyo unasikia wanakuambia kabisa, "Baby nataka nikuzalie mtoto ".
 
Ongeza na hii;

1.Kasoma kukuzidi,

2.Ana Maisha mazuri/kipato kikubwa kukuzidi,

3.Kutaka kulinda status yake mbele ya jamii(wewe sio saizi yake,itakuwa uchuro),
A: Logic ni ndogo tu hapo Mkuu.Huyo anayetoa mimba na unampenda sababu inaweza kuwa ( mojawapo);

1.anajiona mzuri,
2.huna vision and mission ya maisha,
3.umechoka mbaya,
4.bado ana soma,
5.akili haijapevuka,
6.we ni mapepe/hujatulia
7.yeye ni full mapepe/hajatulia,
8.bado umri wa kuzaa na kuolewa
9.imani tofauti za dini,
10.mmepishana sana umri
11.una sura kama ya kenge,
12.over weight kama big show wa mieleka,huna mazoezi/stamina,
13.kati yenu kuna mchawi,
14.kati yenu kuna full mnuka midomo/vikwapa/sehemu za siri(uchafu),
15.historia ya magonjwa ya kurithi,
16.mnaishi mbali,
17.hupigi vitu kiume ingawa mbegu unazo,
18.u-dwarfism,
19.una ugonjwa wa kisasa,
20.una kibamia/miguu wa mtoto,
21.ana bwawa,
22.we ni mtu wa show up,
23.mkali/mkorofi kama akina muraa,
24.mlevi kupindukia,
25.mvivu wa kufanya kazi,
26.mpenda starehe,
27.umezaa zaa ovyo watoto wengi wa mama tofauti,
28.family background mfano maisha mazuri,halafu we choka mbaya,
29.anakutumia ili afanikishe malengo yako mfano kusoma/kumfundisha masomo,
30.kuna mtu anamdanganya atamweka ndani kimojaa,
31.huenda wewe hu-promise kuoa,
32.mlafi,kula sana,ubinafsi n.k,

n.k....nk....nk...unaweza kuongezea sababu zingine kadhaa.

B: Ambaye hujamfia lakini anataka umzae huenda ni kwa sababu zifuatazo;
1.amekupenda tu,
2.una maisha mazuri,
3.amechezea sana mipini ya kila aina na kuwa screpa,sasa anaona liwalo na liwe,akikupata wewe tayari katoa nuksi.
4. Mgonjwa mfano ngom,
5.UNAWEZA KUZIGEUZA SABABU ZA "A"ZIKAWA KWA AMBAYE HUJAMFIA ANATAKA MZAE.

n.k....n.k...n.k....ongeza sababu zingine.

Ingawa sisi wanaume huwa hatuangalii,bali chochote chenye dalili ya kuwa na uke tunawaka tamaa ile mbaya,kujilaumu ni baada ya kitendo.

Kazi kweli karne hii.Tumwombe Mungu atuepushe na sintofahamu za ulimwengu huu.

My take: Mkuu SK2016,sijasema hizi ni SIFA zako (sio wewe)bali nimezungumzia kiujumla jumla tu(after quoting you).
 
A: Logic ni ndogo tu hapo Mkuu.Huyo anayetoa mimba na unampenda sababu inaweza kuwa ( mojawapo);

1.anajiona mzuri,
2.huna vision and mission ya maisha,
3.umechoka mbaya,
4.bado ana soma,
5.akili haijapevuka,
6.we ni mapepe/hujatulia
7.yeye ni full mapepe/hajatulia,
8.bado umri wa kuzaa na kuolewa
9.imani tofauti za dini,
10.mmepishana sana umri
11.una sura kama ya kenge,
12.over weight kama big show wa mieleka,huna mazoezi/stamina,
13.kati yenu kuna mchawi,
14.kati yenu kuna full mnuka midomo/vikwapa/sehemu za siri(uchafu),
15.historia ya magonjwa ya kurithi,
16.mnaishi mbali,
17.hupigi vitu kiume ingawa mbegu unazo,
18.u-dwarfism,
19.una ugonjwa wa kisasa,
20.una kibamia/miguu wa mtoto,
21.ana bwawa,
22.we ni mtu wa show up,
23.mkali/mkorofi kama akina muraa,
24.mlevi kupindukia,
25.mvivu wa kufanya kazi,
26.mpenda starehe,
27.umezaa zaa ovyo watoto wengi wa mama tofauti,
28.family background mfano maisha mazuri,halafu we choka mbaya,
29.anakutumia ili afanikishe malengo yako mfano kusoma/kumfundisha masomo,
30.kuna mtu anamdanganya atamweka ndani kimojaa,
31.huenda wewe hu-promise kuoa,
32.mlafi,kula sana,ubinafsi n.k,

n.k....nk....nk...unaweza kuongezea sababu zingine kadhaa.

B: Ambaye hujamfia lakini anataka umzae huenda ni kwa sababu zifuatazo;
1.amekupenda tu,
2.una maisha mazuri,
3.amechezea sana mipini ya kila aina na kuwa screpa,sasa anaona liwalo na liwe,akikupata wewe tayari katoa nuksi.
4. Mgonjwa mfano ngom,
5.UNAWEZA KUZIGEUZA SABABU ZA "A"ZIKAWA KWA AMBAYE HUJAMFIA ANATAKA MZAE.

n.k....n.k...n.k....ongeza sababu zingine.

Ingawa sisi wanaume huwa hatuangalii,bali chochote chenye dalili ya kuwa na uke tunawaka tamaa ile mbaya,kujilaumu ni baada ya kitendo.

Kazi kweli karne hii.Tumwombe Mungu atuepushe na sintofahamu za ulimwengu huu.

My take: Mkuu SK2016,sijasema hizi ni SIFA zako (sio wewe)bali nimezungumzia kiujumla jumla tu(after quoting you).
Ongeza na hii;

1.Kasoma kukuzidi,

2.Ana Maisha mazuri/kipato kikubwa kukuzidi,

3.Kutaka kulinda status yake mbele ya jamii(wewe sio saizi yake,itakuwa uchuro),
Asante saana kwa michango yenu.

Wazazi wake ndiyo walimtawala kwa kila jambo, akashindwa kuamua. Sikupenda nitoe hata pesa ya kutoa ili azae nimchukue. Wazazi wakakomaa eti wanataka wamsomeshe zaidi na zaidi. Binti alinipenda. Wakaitoa dah!

Cha ajabu wazazi wake hawakumsomesha. Na hadi sasa ni single mother.
Kuna siku tulionana na mwanaye mgongoni, akabaki analia tu.
Nilisikitika sana.

Anasema ilikuwa akili za kitoto.
 
Aisee rafiki yangu imemtokea hii na mwanamke mwaka wa4 huu hajapata mimba tena aiseee mm fasta ningejiachia wala ctataka ushauri
 
Aisee rafiki yangu imemtokea hii na mwanamke mwaka wa4 huu hajapata mimba tena aiseee mm fasta ningejiachia wala ctataka ushauri
Mwaka wa nne mwanaume anaendelea kusubiri tu hapati mwanamke mwingine?
 
Ilikuwa Sio riziki yako hiyo.Uliyenaye sasa hivi ndio riziki yako halali.Kwa hiyo usijutie.
Asante saana kwa michango yenu.

Wazazi wake ndiyo walimtawala kwa kila jambo, akashindwa kuamua. Sikupenda nitoe hata pesa ya kutoa ili azae nimchukue. Wazazi wakakomaa eti wanataka wamsomeshe zaidi na zaidi. Binti alinipenda. Wakaitoa dah!

Cha ajabu wazazi wake hawakumsomesha. Na hadi sasa ni single mother.
Kuna siku tulionana na mwanaye mgongoni, akabaki analia tu.
Nilisikitika sana.

Anasema ilikuwa akili za kitoto.
 
Hivi kwa nini mwanamke unaye mpenda(una malengo mengi nae)
Hawa wakipata tu mimba hua wanatoa!

Lakini wale ambao huna mpango nao hua hawataki kutoa?
Ukiacha sababu za kiimani na kiroho ambazo moja kubwa ni kutokuwa tayari kutoa uhai wa kiumbe kisivho na makosa..

Hizi mbili zinaweza kuwa sababu kwa wale wasioogopa kuua...
1.Uliye na malengo nae labda ana malengo na mwingine hivyo anaona mimba itakuwa sababu ya kukataliwa huko..hivyo hana sababu ya kukuzalia mtoto maana hafikirii zaidi juu yako.

2.Usiye na malengo nae, anakuwa na malengo nawewe hivyo anaweza kuona mimba ikawa sababu ya kubaki karibu nawewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom