Akitoa mimba utamsamehe?

Akitoa mimba utamsamehe?

Hivi kwa nini mwanamke unaye mpenda(una malengo mengi nae)
Hawa wakipata tu mimba hua wanatoa!

Lakini wale ambao huna mpango nao hua hawataki kutoa?
 
Pole sana...

Sababu ya yeye kutoa mimba wala siyo hasira... sababu kuu itakua mimba haikua yako ndiyo maana...


Cc: mahondaw
 
Acha ufala bwege wewe,unakaaje na mwanamke muuaji unayemjua?? Leo kaua mwanao kesho anakuua wewe...kima wewe ...furushi LA magimbi kabisa,ungekuwa karbu ningekutia mbata....kenge kabisa
 
Nilimwambia nahisi anachepuka na inawezekana hata mimba sio yangu
Duh,inaonekana mna migogoro isiyo ya msingi hapo hamuez kuwa na future bado mnacheza,yaani kama unaweza kumtuhumu hvo alafu na yeye akatoa hapo hamna watu kwan mna miaka mingap samahn kwa maswal yangu
 
Wee umpeleke mtuhumiwa Polisi na gari, si unakuwa mmekaa tu njia nzima, Kwani mnakaliaga vichwa?
Hahahahaha Mkuu Bujibuji nimecheka kweli,ni utani na changamsha jamvi tu.
"Hivi wengine huwa wanawapeleka watuhumiwa Polisi kwa makalio kama sio kwa miguu yao wenyewe"?
Hahahahaha Mkuu!!!
 
Tumeagizwa kusamehe 7*70 hivyo samehe tu, wa kuhukumu ni Mungu.
 
Hivi kwa nini mwanamke unaye mpenda(una malengo mengi nae)
Hawa wakipata tu mimba hua wanatoa!

Lakini wale ambao huna mpango nao hua hawataki kutoa?
Dah! Umeongea point kubwa sana kwangu.

Yaani wale usiopenda kuweka makazi ndiyo unasikia wanakuambia kabisa, "Baby nataka nikuzalie mtoto ".
 
Na mwanamke aliyetoa mimba ana asilimia 75 za kutombwa na daktari waliyeua pamoja maana wengi wanakuwaga wanaume
Huu Ni uzoefu binafsi!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom