wambeke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 2,655
- 2,645
Haswaaa mwambie aje nimfundisheEeh hivi inawezekana mke kumpiga chini mume eeh...
Haswaaa mwambie aje nimfundisheEeh hivi inawezekana mke kumpiga chini mume eeh...
Shem asanteShemeji unaakili sana wewe
ha ha ha haShem asante
Mie ni nyani mzee
Nimeshakwepa mishale mingi sana msituni!
Wangu mwanamke anatakiwa apambane kumrudisha mmewe kwenye mstari
Mwanamke awe mpole,ajitahdi kua karibu sana na mmewe!
Aendelee kumpa moyo na kumuamini
Haswaaa mwambie aje nimfundishe
Shem asante
Mie ni nyani mzee
Nimeshakwepa mishale mingi sana msituni!
Asante!!Hongera kwa uzoefu
Mie natamani kumwambia aachane na mumewe ila naogopa kumwambia maana moyo wa mtu kichaka. Nafamiana na hii familia siku nyingi na pia naona na nafahamu mateso anayopitia huyu mama. Ila sina ujasiri wa kumwambia ondoka hapo kwako uanze maisha upya.Wewe mwenyewe Mkunde Original ushauri wako ni UPI?
ajitenge naye kwa muda, aombe likizo akasalime kwao
Hapo msipoangalia wrote mtajikuta mko kwenye mahusiano ili kupunguziana maumivu
Atapona kabisa wewe usijali maana hata mimi ni Handome piaHeee umfundishe tena mmmh atapona kweli maana huyo mama ni mrembo. Haya ntamwambia akutafute looh
Atapona kabisa wewe usijali maana hata mimi ni Handome pia
Ni kweli ila kama wakiwa wanaangamia au kuzama na msaada upo si dhambi kuwasaidia wainuke upyaMambo ya ndoa waachie wenye ndoa.
Mmmmh!! Stress mbaya sana ukizingatia na mid life crisis, huyo atafutiwe msaada wa kisaikolojia, kumuacha kwaweza msababishia matatizo mengine makubwa zaidi.
Ndio wake huyo wa kufa na kuzikana,atafanyaje sasa, hapo ndipo anatakiwa aonyeshe kumpenda zaidi na amsaidie kuondokana na tatizo hilo.
haya Mkuu ila nimependa Meno yako sana mpka nimekuja PMHahahahahaa haya bwana.