Akishitaki atakuwa kamkosea mumewe?

Akishitaki atakuwa kamkosea mumewe?

Nakuunga mkono, kama ni nyege angekuwa anamkamua zoote asubuhi kabla hajaondoka!Wazee wenyewe hata nguvu hawana ataparamia saa ngapi mabeki tatu!?Huyo mama anamuona mwenzie mzigo na ukute keshampakia mimaneno kibao!Ogopa mwanaume akiwa broke halafu ukamsimanga "he turns to a monster that you can hardly handle"
hata hao mabeki tatu ukute hajawafanya kitu .
 
Mie natamani kumwambia aachane na mumewe ila naogopa kumwambia maana moyo wa mtu kichaka. Nafamiana na hii familia siku nyingi na pia naona na nafahamu mateso anayopitia huyu mama. Ila sina ujasiri wa kumwambia ondoka hapo kwako uanze maisha upya.
Hayo mateso yameanza lini?

Baada ya kukosa kazi au kabla ya kukosa kazi?
 
kweli ukifulia hata shetani hakupendi?
kipindi mume kapata majanga ya kutumbuliwa ndo kipindi huyo baba aliitaji upendo wa kweli,kubaki nyumbani akaambiwa anatembea na mabeki tatu ona alipoishia sasa .huyo shogako ni shwetani tu .hyo baba atakufa siku si nyingi tuone kama atafaidi
Ndo ambalo mie nimeliona huyo mama kashamuona mmewe mzigo kwa kipindi kifupi tu!
 
Not easier as u think it is...!!
Muda walioshi vizuri kuliko kipindi hiki!
Huyo mume anahtaji faraja haswa baada ya kuachishwa kazi!
Mwanamke anatakiw awe nae karibu mno mmewe...

Kumuacha sio solution zaidi atakua amekosea sana tu!
Ndo maana me na wewe ni mabinamu wa damu. Huyo baba anachopitia sasa hivi ni ile frustration ya kupoteza kazi (ingawa ya kutembea na house girls sikubaliani nayo). Hakuna kitu kigumu kama mtu kuzoea kukaa nyumbani helplessly, while alishazoea kuchakarika na kushika pesa zake. Ile ku-adapt maisha ya kutokushika hela ni kazi ngumu mnooo, unless awe na watu wanaomsupport haswa. Hiyo kunywa ni simply anajitahidi kupoteza mawazo. Katika situation hiyo wengi wanabadilikaga kuwa very sensitive, insecure and bitter. Tena kama mama ndo umekuwa breadwinner basi ndo jipange haswa, maana ile sense ya Kuwa yeye ndo mwanaume wa nyumba inakuwaga matatani, anajiona useless. So unaweza ukamwambia tu kitu kidogo yeye akakikuza, ataona umekisema kisa tu yeye hana kazi, ili akupruvie kwamba yeye bado ndo man of the house, basi utakula mkong'oto hatari. Atafute tu watu wazima au mwanasaikolojia ili aongee naye amtulize slowly ataanza kurudi kwenye hali yake. Ila mke ndo asichoke kuwa mvumilivu, ni jaribu lao, litapita tu
Wangu mwanamke anatakiwa apambane kumrudisha mmewe kwenye mstari

Mwanamke awe mpole,ajitahdi kua karibu sana na mmewe!
Aendelee kumpa moyo na kumuamini
 
Ndo maana me na wewe ni mabinamu wa damu. Huyo baba anachopitia sasa hivi ni ile frustration ya kupoteza kazi (ingawa ya kutembea na house girls sikubaliani nayo). Hakuna kitu kigumu kama mtu kuzoea kukaa nyumbani helplessly, while alishazoea kuchakarika na kushika pesa zake. Ile ku-adapt maisha ya kutokushika hela ni kazi ngumu mnooo, unless awe na watu wanaomsupport haswa. Hiyo kunywa ni simply anajitahidi kupoteza mawazo. Katika situation hiyo wengi wanabadilikaga kuwa very sensitive, too defensive, insecure and bitter. Tena kama mama ndo umekuwa breadwinner basi ndo jipange haswa, maana ile sense ya Kuwa yeye ndo mwanaume wa nyumba inakuwaga matatani, anajiona useless. So unaweza ukamwambia tu kitu kidogo yeye akakikuza, ataona umekisema kisa tu yeye hana kazi, ili akupruvie kwamba yeye bado ndo man of the house, basi utakula mkong'oto hatari. Atafute tu watu wazima au mwanasaikolojia ili aongee naye amtulize slowly ataanza kurudi kwenye hali yake. Ila mke ndo asichoke kuwa mvumilivu, ni jaribu lao, litapita tu
Asante binamu maneno mazuri sana!

Wanawake tunakosea hapa baadhi mume akipoteza kazi au akiyumba badala ya kuonyesha uko nawe side by side ndo we sasa unaanza kuona mzigo while mwanzo hata kama kulikua na matatizo tulivumilia

Huyo mapenzi kwa mumewe yanapswa yaongezeka ten times ili arudi kwenye hali ya kawaida

Kwa sababu sasa hivi ana ile inferiority complex so mwanamke anapaswa kumpa nafasi take baba Mwenye nyumba regardless anything!


Huyo mwanamke atulie tu!akumbuke mema ya huyo baba hata moja tu maana Five kids ni wengi sana

Halafu anakosea kutoa siri za mumewe!
 
Mke arudi kwao kwa 1 yr mi wangu nilimpa likizo itayo taka mwenyewe nikwamwahidi atanikuta siku akichoka kukaa kwao Mwezi mmoja tu Akasema nardi kwangu, Leo tumejenga nyumba nyingine,,
 
Ndo ambalo mie nimeliona huyo mama kashamuona mmewe mzigo kwa kipindi kifupi tu!
umeniona mke wa lance? tupo dubai hata lance alipofulia dada yenu aliomba talaka akadai lance wa baridi sasa najifunza gofu dubai??????
 
Asante binamu maneno mazuri sana!

Wanawake tunakosea hapa baadhi mume akipoteza kazi au akiyumba badala ya kuonyesha uko nawe side by side ndo we sasa unaanza kuona mzigo while mwanzo hata kama kulikua na matatizo tulivumilia

Huyo mapenzi kwa mumewe yanapswa yaongezeka ten times ili arudi kwenye hali ya kawaida

Kwa sababu sasa hivi ana ile inferiority complex so mwanamke anapaswa kumpa nafasi take baba Mwenye nyumba regardless anything!


Huyo mwanamke atulie tu!akumbuke mema ya huyo baba hata moja tu maana Five kids ni wengi sana

Halafu anakosea kutoa siri za mumewe!
Unajua kuna wakati wapendwa wetu wanatuumiza sana, but instead of trying to hurt them back, inabidi tujitahidi kuelewa situation yao. Sawa anayotenda huyo mume yanachosha honestly, ila hafanyi vile makusudi. Yani pale ni kama anajitahidi kupunguza stress zake tu. Kuna watu wanachanganyikiwaga hadi wanakuwa machizi, kisa kufulia. Ni situation inayohitaji support sana ya watu wako wa karibu ili uweze kusimama tena. Ni kumpa matumaini mapya mtu ambaye ashajikatia tamaa.., inabidi kujitoa haswa.
 
umeniona mke wa lance? tupo dubai hata lance alipofulia dada yenu aliomba talaka akadai lance wa baridi sasa najifunza gofu dubai??????
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kula raha bidadaa

maisha mafupi...!!!
 
Unajua kuna wakati wapendwa wetu wanatuumiza sana, but instead of trying to hurt them back, inabidi tujitahidi kuelewa situation yao. Sawa anayotenda huyo mume yanachosha honestly, ila hafanyi vile makusudi. Yani pale ni kama anajitahidi kupunguza stress zake tu. Kuna watu wanachanganyikiwaga hadi wanakuwa machizi, kisa kufulia. Ni situation inayohitaji support sana ya watu wako wa karibu ili uweze kusimama tena. Ni kumpa matumaini mapya mtu ambaye ashajikatia tamaa.., inabidi kujitoa haswa.
Daah bina unaongea kama vile umepitia hiyo hali aisee!!

Acha kabisa mwanaume akifulia haswaa km alikua anazichezea pesa anawehuka kabisaa...

Cha msingi mke hapo sasa ndo mtihani unapokuja

Zile heshima zilikuwa za kweli au mtu kitu???

Wanawake tunapaswa kujitathimi sana kwa hili!!
 
Daah bina unaongea kama vile umepitia hiyo hali aisee!!

Acha kabisa mwanaume akifulia haswaa km alikua anazichezea pesa anawehuka kabisaa...

Cha msingi mke hapo sasa ndo mtihani unapokuja

Zile heshima zilikuwa za kweli au mtu kitu???

Wanawake tunapaswa kujitathimi sana kwa hili!!
Hahaha unajuaje labda nimepitia teh. Nope bana, mtu wangu wa karibu sana ashawahi pitia situation kama hiyo, japo yeye alikuwa demoted tu, but it was a blessing in disguise. Yeye hakufulia kihivyo, sema kuna vitu tu vilipungua. Alikuwa hawezi kulala bila kunywa japo alikuwa ananywea home, hakuweza kuendesha gari hadi akili ilipotulia, maana angepata tu ajali etc. Tatizo lake tu kubwa alikuwa "mkali", jamani kitu tu kidogo atafoka hadi utalia mmh. Sasa hivi anacheka tu haha, Thanks God
 
Hahaha unajuaje labda nimepitia teh. Nope bana, mtu wangu wa karibu sana ashawahi pitia situation kama hiyo, japo yeye alikuwa demoted tu, but it was a blessing in disguise. Yeye hakufulia kihivyo, sema kuna vitu tu vilipungua. Alikuwa hawezi kulala bila kunywa japo alikuwa ananywea home, hakuweza kuendesha gari hadi akili ilipotulia, maana angepata tu ajali etc. Tatizo lake tu kubwa alikuwa "mkali", jamani kitu tu kidogo atafoka hadi utalia mmh. Sasa hivi anacheka tu haha, Thanks God
Aiseeh!maana sio kwa kudadavua huko!
Sometimes tatizo linakuja na baraka zake!

Cha msingi ni kulia na Mungu wako!l
Uvumilivu,subira na kumpata mtu wa kukufariji ndio vinahitajika la sivyo dunia utaiona chungu!

Hawa watu wanahitaji sana faraja mnoo!
 
Huyo laana za watanzania zimemshika......hata akimshitaki bado haisaidii.
 
Back
Top Bottom