Akishitaki atakuwa kamkosea mumewe?

Akishitaki atakuwa kamkosea mumewe?

Aiseeh!maana sio kwa kudadavua huko!
Sometimes tatizo linakuja na baraka zake!

Cha msingi ni kulia na Mungu wako!l
Uvumilivu,subira na kumpata mtu wa kukufariji ndio vinahitajika la sivyo dunia utaiona chungu!

Hawa watu wanahitaji sana faraja mnoo!
Couldn't agree more (teh ulihisi nimepatwa lol)
 
Hapo inahitajika neema na hekima mwanamke kurudisha ndoa yake kwenye mstari... Sala na maombi muhimu
 
Midlife crisis! Watoto watano, as in five kids, umepigwa chini job...totally helpless!! Huyo mzee anapitia wakati mgumu mno.
 
Eleza sasa hiyo tiba ni ipi...
Mkuu kwana akijatambua huyo muayhiroka wa pombe !! nikumpeleka akifyarana wana familiya kuona taatjari za wahanga sehemu kadhaa:-
ICU hospitalini chumba cha maututi..
Jela kuona wafunguwa wanvyo banwa...
Rumande polisi... kwenye ajali za traffic..
ili aweze ona na kuhisi kwa macho yake hali halisi ya huko akilingamisha ma uhuru alonao!!
basi

Vituo vya yateema..
 
Midlife crisis! Watoto watano, as in five kids, umepigwa chini job...totally helpless!! Huyo mzee anapitia wakati mgumu mno.
kasingiziwa hadi anatoka na beki tatu jamani,akienda bar anakula ma bar maid ajinyonge tu
 
Mtafutie mwanasaikolojia au mshauri amshauri
 
Kama Bwana ake anasema hawezi acha ulevi na uasherati !!! hilo ni kadhia jingine na tiba yake ipo na ni rahisi bila gharama...
wengi imewafaa....

Tina nahisi ndo itakuwa poa ya familia hii. Tafadhali naomba unishirikishe huo utaalamu ili nisaidie hii familia. Ubarikiwe ZZ
 
Mkuu kwana akijatambua huyo muayhiroka wa pombe !! nikumpeleka akifyarana wana familiya kuona taatjari za wahanga sehemu kadhaa:-
ICU hospitalini chumba cha maututi..
Jela kuona wafunguwa wanvyo banwa...
Rumande polisi... kwenye ajali za traffic..
ili aweze ona na kuhisi kwa macho yake hali halisi ya huko akilingamisha ma uhuru alonao!!
basi

Vituo vya yateema..

Okee nimepata asante.
 
Okee nimepata asante.
Honestly jumuiya yetu ilitenda hayo mara kadhaa na ikafanikiwa kuwabadilisha ma Adicts walonasa ktk maovu juu za familia zao hadibwakabafilika "changes come within"

wapo walosusa kwa muda ila wapo walogeuka 180/360 degrees...
maana mwanaadamu ana chembe cha kufikiri na kupata huruma na kuoata mshituko na khofu!!!
wajaribu kuembelea wagonjwa muhibili waonevmaajabu!!
 
Mie natamani kumwambia aachane na mumewe ila naogopa kumwambia maana moyo wa mtu kichaka. Nafamiana na hii familia siku nyingi na pia naona na nafahamu mateso anayopitia huyu mama. Ila sina ujasiri wa kumwambia ondoka hapo kwako uanze maisha upya.
Aondoke amwache?! we mbona bado upo unavumilia? maandiko yanasema 'ukiachana na mmeo au mkeo usioe wala kuolewa. na endapo utataka kuolewa tena inabidi umrudie mmeo au mkeo' mwisho wa kunukuu.
 
Back
Top Bottom