SamJet
Senior Member
- Jul 22, 2009
- 162
- 13
HABARI WANA jf, KUNA SWALI LINANITATIZA
kondakta akipandishwa cheo anakua Dereva,
Shemasi akipandishwa cheo anakuwa mchungaji,
Mwalimu akipandishwa cheo anakuwa Headteacher,
Je hausgeli ama bekitatu akipandishwa cheo anakua nani?
Kwasababu serikali imesema tuwapandishe vyeo wananchi.
kondakta akipandishwa cheo anakua Dereva,
Shemasi akipandishwa cheo anakuwa mchungaji,
Mwalimu akipandishwa cheo anakuwa Headteacher,
Je hausgeli ama bekitatu akipandishwa cheo anakua nani?
Kwasababu serikali imesema tuwapandishe vyeo wananchi.