Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
ndio maana kwenye magesti hausi ya uswazi mashuka na taulo zinagongwa nembo!, kandambili wanachanganya rangi saizi sawa lakini moja kijani nyingine njano!, hahaaaaa, wenye bar nao wabuni mbinu zaidi.
Du! GP, umenichekesha sana. hayo mambo yana-exist au mbwembwe zakooo? anyway, labda umekutana nayo hayo