Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Hii nimeiona mara kibao nikiwa Bar sasa naona inajengeka hii tabia kume kuwa na tabia mbaya kwa kina dada wanao beba mikoba a.k.a kipima Joto pindi wamalizapo kilaji basi anaweka na bilauli kwenye mkoba nakuondoka nayo kusiko julikana mara ya kwanza nilijua pengine kaja nazo baada ya kuondoka nikauliza kwa muhudumu nikaambiwa tumesha lizwa.
Sasa dada Bia/wine umenunuliwa unaiba glass ya nini jamani mbona mnatutia aibu wengine mpaka chupa za bia wanabeba.
Wakuu Masanilo,Chrispin aangalieni vijiweni mnakotembelea ukiona sister duuu kaja na mkoba mkubwa mtilie shaka.
Sasa dada Bia/wine umenunuliwa unaiba glass ya nini jamani mbona mnatutia aibu wengine mpaka chupa za bia wanabeba.
Wakuu Masanilo,Chrispin aangalieni vijiweni mnakotembelea ukiona sister duuu kaja na mkoba mkubwa mtilie shaka.