Jayfour_King
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 1,135
- 128
Mhhhhh!! Tukubali tatizo tulilonalo na tusiukimbie ukweli, tujikomboe kwanza ki uchumi halafu mambo mengine yote yanawezekana. Mfano hii kasumba ya watu kupenda kukaa Dar na hawana deal yoyote wanaishi kwa kubangaiza wakati wangeweza kukaa huko kwao shinyanga na wakaja Dar na single kali na wakaheshimiwa.
Tuache kasumba pigana katika mazingira uliyo yazoea ni rahisi kutoka kuliko kuishi bila kuijua hata chai ya kesho itakuwaje. Watu wanaitamani Tanzania na wanaviona vinavyotamanisha sisi tuko hapa tunataka kwenda kuwa omba omba nje, shame on us!
Tuache kasumba pigana katika mazingira uliyo yazoea ni rahisi kutoka kuliko kuishi bila kuijua hata chai ya kesho itakuwaje. Watu wanaitamani Tanzania na wanaviona vinavyotamanisha sisi tuko hapa tunataka kwenda kuwa omba omba nje, shame on us!