bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Duh !!! Nitakaa mbali na wewe kwa kweli !!! Hahahaaaa!!!!!
unaniogopa???? sing'ati mie bwana!!!!! just come closer TB uone how sincere am gonna be!!! hahaaa lol!!!
Duh !!! Nitakaa mbali na wewe kwa kweli !!! Hahahaaaa!!!!!
Haya mambo ya chat room hayafai, na huwezi kupata mwenza online. Niliwahi kuwa na friend wa kike niliyekuwa nachati naye online, siku moja akaniuliza nipo pande gani za dunia, nikamwambia nipo Sumbawanga na siku hiyo ikawa ya mwisho kuchat naye.
hapo nimekugongea senks mpwa,money should be involved in love,siongelei pesa za kuhonga etc,ila ni pesa za kuwawezesha kumove hapa na pale na kubadilisha mazingira na huyo mwenzi wako ,kama huna pesa baba duuuuh!Mkuu,
Labda wengine tumepitwa na wakati. Sipati jawabu kwa nini mtu amtafute mwenza online. Kwani walio "in line" au kwenye kwenye macho yake hawaoni? Hapa kuna udhaifu fulani watu wa namna hii wanajaribu kuuficha. Kama mtu anakitu anachokificha basi lazima atasema uongo tu! Hakuna kitu cha bei nafuu. Kwa hiyo ni poa tu wakidanyana kwa sababu wote wanatafuta njia ya mkato!
Lakini, kwa maoni yangu (tupende tusipende), pesa kwenye mapenzi ni kitu cha lazima. Suala la msingi ni kujaribu kuangalia matamanio yako na jinsi ya kuyatimiza katika mahusiano bila kusababisha usumbufu kwa mwenzio.
Mwezi uliopita nilikua benki moja ya kanda ya ziwa, ebana usimpimie mtu kivile.
Vijana wadogo wadogo wanaingia na mifuko ya rambo na KUWEKA (si kuchukua apo) mahela mpaka nilichanganyikiwa.
Nyie akina dada msiwadharau wa mikoani, kuna watu wanamiliki Lexas benki na hawasemi, mnakosaga bahati ivi ivi.
Mimi huwa nafawanyia research hawa viumbe kwenye mitandao mbalimbali ya urafiki na uchumba.
Mwanzoni tunachati fresh tu, linapokuja swala la kutaja sehemu nilipo, ndo hapo ninapowachezeaga akili hawa dada zetu.
Mara nyingi nikiwaambia niko mamtoni nachukua nondoz au napiga mgalala/box, basi maongozi yanakwenda vizuri mpaka kufikia mikakati ya kupanga engejimenti na harusi.
Asilimia kubwa pia huendelea kuchati nami, iwapo nitawaambia niko Dar, na niko kwenye ofisi flan kubwa hapa mjini.
Usilongwe ukawaambia ukweli hawa viumbe, kuwa uko Tandahimba,Ukwale au mikoani huko hasa ya pembezoni, hupotea ghafla na namba za simu hubadilishwa.
Hivi nyie akina dada, fedha na kazi ni kitu gani hasa mpaka mvipapatikie kiasi hicho?
Hivi huwezi ukaanza maisha na mwenza wako kwa kulalia mkeka kwanza?
Hamuoni fahari kuanza maisha from the grass root na mwenza wako?
Hivi mke wa Obama alijua mmewe atakua rais, ndo akamkubali fasta?
hapo nimekugongea senks mpwa,money should be involved in love,siongelei pesa za kuhonga etc,ila ni pesa za kuwawezesha kumove hapa na pale na kubadilisha mazingira na huyo mwenzi wako ,kama huna pesa baba duuuuh!
Big up to all the ladies who fix men. Some deserve it, utashangaa huyo anayetaka kuchat na madem kila siku na kuwafix na maneno matamu ya uongo ana mke ndani au ana committed r/ship na mtu. so at the end of the day ni kuwaumiza roho wadada wote wawili. Njia ya kudeal na viumbe wa aina hii ni full usanii.
Mimi huwa nafawanyia research hawa viumbe kwenye mitandao mbalimbali ya urafiki na uchumba.
Mwanzoni tunachati fresh tu, linapokuja swala la kutaja sehemu nilipo, ndo hapo ninapowachezeaga akili hawa dada zetu.
Mara nyingi nikiwaambia niko mamtoni nachukua nondoz au napiga mgalala/box, basi maongozi yanakwenda vizuri mpaka kufikia mikakati ya kupanga engejimenti na harusi.
Asilimia kubwa pia huendelea kuchati nami, iwapo nitawaambia niko Dar, na niko kwenye ofisi flan kubwa hapa mjini.
Usilongwe ukawaambia ukweli hawa viumbe, kuwa uko Tandahimba,Ukwale au mikoani huko hasa ya pembezoni, hupotea ghafla na namba za simu hubadilishwa.
Hivi nyie akina dada, fedha na kazi ni kitu gani hasa mpaka mvipapatikie kiasi hicho?
Hivi huwezi ukaanza maisha na mwenza wako kwa kulalia mkeka kwanza?
Hamuoni fahari kuanza maisha from the grass root na mwenza wako?
Hivi mke wa Obama alijua mmewe atakua rais, ndo akamkubali fasta?
Na wa kaka hivo hivyo.
Hata hapa JF atakuuliza hivi upo wapi Dada, ukisema ukweli kwamba Upo Tanzania Shinyanga, ndo utakuwa umeua mawasiliano Hupati tena cha PM, thanks wala nini. Ila ukisema upo nje ya nchi hasa US na Europe hapo kitaeleweka, na kwa Tanzania at leaaaaaaast Dar, nje ya Dar forget it.
So its not abt Wadada peke yao, na Wakaka mna/wana tatizo hilo.
Kabla sijasahau....Happy New year 2010.
hapa ndio chamvini bwana, kuna mengi ile mbaya...Lizy,
kumbe some PMs na thanks zinatolewa kwa misingi ya itikadi eeh?