Akina dada msijidanganye

NDOA & WADADA ABOVE 30 ni the hottest topic hapa JF inahitaji tuzo kwa kwel
 
Kwani umri sahihi wa kuolewa ni upi? Na ni wapi pameandikwa kuwa kuolewa ni lazima? Na nyie wanaume mbona wengine umri umeenda sana lkn hamuoi mna matatizo gani? Utakuta mtu ana 45 hana ht mpango wa kuoa mbona sie hatuwasemi?

Acha mtu aolewe au aoe muda anaotaka hata kama ni miaka 50.
Labda utujuze wewe mtoa mada unakereka na nini ukiona mwanamke above 30 hajaolewa? Tafuta wa kwako below 30 umuoe utulizane nae. Maisha ya watu wengine yaache kama yalivyo au nenda kawahubirie dada zako hiyo mada. Tunaishi tutakavyo sio utakavyo wewe!!

Utawafanya wadada wa watu wakimbilie kuolewa kisa umri unaenda. Ndoa hailazimishwi..lazima ujiandae uwe tayari. Life is so simple tatizo kuna watu wachache wanacomplicate vitu visivyo na maana.
 

Dah nimesikia huzuni sana kwa post hii, Never give up mdada Mungu bado yupo nawe and He never said Goodbyee.
 
pole sana, Mungu ni mwaminifu, mtoa mada nazani hana dada wala ndugu wa kike, hana hisia za kujali wanawake, ila usijali, malipo ni hapa hapa duniani, ombea mema wanaokuudhi. Mwanadamu hata akikuonaje cha msingi ukumbuke wewe ni wa thamani machoni kwa Mungu. Pole kwa majeraha.
 
Mtoa mada umeoa????usitukane mamba hujavuka mto,
 
inaitaji moyo kusoma uzi wako kutokuolewa haimaanishi umefunuliwa sana
ukikua utajua naongea nini
 
sijaoa bado kama vp tuanze mm na ww badiebey au unasemaje

mapenzi mi nimestaafu kidogo for now...shaurilo ukute mkeo mtarajiwa ana 35...maisha yanamkuta kila mtu in a different way
 
Last edited by a moderator:

Mmmmm....
 
mapenzi mi nimestaafu kidogo for now...shaurilo ukute mkeo mtarajiwa ana 35...maisha yanamkuta kila mtu in a different way

hakuna kitu kama hicho badiebey mke wangu yupo 27 yrs tofauti 1 yr na mm kwahyo starajii kuoa over 30 yrs japo ni wazuri kwa kila idala.
 
Last edited by a moderator:

You earned my respect.
 
Umevurugwa wewe...!!! Ulitaka akukubalie easy easy tu....he he heeeeeee!!! Et...ooohh mtafunuliwa mpaka mkomeee...kwan mdada anapofunuliwa huyo anaemfunua naye hachojoi? Mbona anachojoa na mauno anayakata mwanzo mwisho....na wote mnaskia utamuu...so nn kinaharibika?!! So far maisha ya huyo mdada hayakuhusu!!! Stay away from women of this generation....satan!!!! mmmmssxxxuuuuuu.....
 
Kaka angu, yani umewafuatilia weee unakuta vigezo na mashart kuzingatiwa, sasa naona izo ni hasira tu,
 
Kuna lijanamke nilikutana nalo, Bovu bovu na liko aged sio kidogo ila haliwahi kuolewa na wala halina mtoto still lipo home kwao. Bac likaanza kunipa masharti na virungu juu mara leo nataka dila kesho nataka viatu. Nilicho kifanya ni kuligegedua na kulibrock. Ctaki hata kuona namba ngeni najua ni lenyewe tu=======>
 
Hivi hakuna maisha bila kuolewa?
Wanaume mwapenda nyie ndo mchague tena kwa masharti na vigezo lukuki na siyo mwanamke kuchagua apendacho??

Tunachagua coz wanaume ndio humfuata mwanamke na kumwambie anampenda, Nyie hamkuumbwa hvyo. Mnasubili kuchagulia na kuliwa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…