Akina dada msijidanganye

Kwa kujiheshimu na kukaa katika mpango unaotakiwa bila kuishi katika mawazo ya filamu na tamthilia huyo wakukuongoza yupo,na kwa asili mwanaume ameumbwa kumuongoza mwanamke,yaan haijalishi yupoje kimtazamo hiyo ndo misingi ya ulimwengu ilivyo..

Nakubaliana na point ya kujiheshimu na kujitunza ni wajibu wangu! Na ndiyo maana Nina sababu ya kuchagua nazi iliyokomaa na siyo koroma lisiloweza unga mchuzi!
Unaijua sifa ya kiongozi wewe? Lazima awe mtu wa mfano na uwezo wa kutatua matatizo ya anayowaongoza! Huwezi kuwa dhaifu halafu utegemee unaowatawala wakubali maadam wewe kiongozi! Lazima watakupinga na kukupindua utoke!
 

Naichukua hii kama changamoto! kujitunza, kujiheshimu, kufanya kazi kwa bidii, ili niwe na hadhi ya kulindwa na RPG! Values alizonipa Mungu zinatakiwa kulindwa na Shujaa aliyeundwa na Mungu na si mgambo wa virungu!
 
Maoni mengi ya wanawake humu hawataki wapate shida wakiolewa,hivi nyie wanawake na dadaz wa humu nani aliewaambia ndoa ni raha tu? Kwenu au kwako hampati shida na taabu?maisha yetu watz ni ya kawaida tu wote isipokuwa wachache sana,mboga ya jana tia maji itoshe na leo,maisha ya tia maji tiamaji.
Sasa mnaposema ndoa za sasa majanga kwani mnadhani wazazi wenu waliishi kwa raha sana? Hakuna shida wanazo ila kilichowafikishsa hapo walipo ni upendo,sasa nanyie ladies mnatakiwa muongozwe na upendo pamoja na uvumilivu tu.
Kwani ukiwa na hivo mnaweza kunywa hata uji na mkalala.
Ushauri tu.
 
Naichukua hii kama changamoto! kujitunza, kujiheshimu, kufanya kazi kwa bidii, ili niwe na hadhi ya kulindwa na RPG! Values alizonipa Mungu zinatakiwa kulindwa na Shujaa aliyeundwa na Mungu na si mgambo wa virungu!

akina dada jiheshimun, jitunzen wawekeeni zawadi waume zenu watarajiwa huwezi kupata mume mwema kama hujiheesahi hujitunzi.
Hekima upendo ni vitu mhim sana. Mtapendwa na mtaolewa
 

umesoma lakini hujaelimika,nani kakwambia wanaume tunaoa elimu? Nani kakwambia elimu inatunza ndoa? Kama mawazo yako ni hayo ya kujigamba na elimu yako basi imekula kwako.
Utasubiri sanaaaaaaaaaaaaa! Wewe baada ya kuiangalia mwenye upendo na uvumilivu ynaangalia elimu poleeeeeeeee?
 

tatizo hawa dada zetu wanataka kuishi ki hollywood sana. Ndoa hazta dumu hata kidogo. Usanaii umezidi
 
akina dada jiheshimun, jitunzen wawekeeni zawadi waume zenu watarajiwa huwezi kupata mume mwema kama hujiheesahi hujitunzi.
Hekima upendo ni vitu mhim sana. Mtapendwa na mtaolewa

Inawezekana wewe ni mwanaume unayejitunza na kujiheshimu na mimi pia nikawa hivyo ivyo!
Problem inakuwa Mimi mwenye sifa hizo sina nafasi ya kukuchagua au kukuambia uniwowe! Hii ni tofauti yetu! So mi ni kama nyanya sokoni napigwa na jua weeee mpk mnunuzi aje kuninunua! Tena nyanya zipo nyingii weee zenye ubora unaofanana! Ni kumuomba Mungu hatuna ujanja!
 

mbona mm nilitongozwa na mke wangu? Ukimpenda mwanaume na unamwona ni mstaarabu ww jitose tu. Jipendekeze
 

Ahsante! Mimi si mwanaume na hivyo uchaguzi wa a life partner hauwezi kufanana na wako! Wewe unaangalia uvumilivu ili kupata atakaye suit your economy! To me nahitaji a responsible man atakaye provide security including financial stability!
Kwangu Elimu ni kigezo muhimu pia sababu nitaishi na mtu mwenye upeo wa mambo unaolingana! Isitoshe education inaongeza skills, and when skill is put to work, it creates wealthy, where there was poverty.
Sasa siwezi kuolewa tu na mwanaume yeyote tu ili kutimiza ndoto za mashabiki wa pembeni ambao hawataishi ndani ya ndoa na mimi! Sorry kama nimekukwaza!
 
mbona mm nilitongozwa na mke wangu? Ukimpenda mwanaume na unamwona ni mstaarabu ww jitose tu. Jipendekeze

Hahahaaa hili halo neno ila kwa mila zetu bado bado sana!
 

Mmmmmh !!! Si bure
 

heeee! Economic stability, education, na nn kingine vile?! Hapo ndipo mnapojikuta aman ndan ya ndoa inatoweka kidogo kidogo. Unataka ulinzi wa kifedha je ww unakiasi gani? Kwann usimtafute wa kawaida na mkaanza wote kuzisaka? Sio kila mwenye Elimu ana Elimu . Unaweza kuwa na PhD lakn kumbe ni ya kwenye makaratasi tu..........
 

Cyan6 nakupa huu mfano ambao ni hai........ Kabla sijafanya maamuzi ya kuwa na mchumba rasm nilikuwa na wanawake wawili ambao walikuwa kwenye uzani ili mmoja wapo awe wife. Huyu mmoja alikuwa mkali sana na alikuwa graduate na huyu mwingne alikuwa 4m4 tena div4. Huyu graduate alijawa na mambo ya kuutumia usomi ila kwa maneno lakn akili ya kuweza kuibajeti hela na kuikuza alikuwa hana. Ila kwenye matumizi alikuwa juu sana mara atake twende kutembelea maeneo flan mara aseme leo au sku mbili tusilale nyumban ila twende hotel nzuri ili tubadilishe mazingira......
Na huyu mwingne wa 4m4 sio mtu wa starehe na ni mzalishaji wa pesa mzur sana ni mtu wa kujaribu biashara mbali mbali na mapato na matumizi unayaona japo elim ndogo na hajaaajiliwa.....
Tena ni mtu anayetambua mwanaume ni nani na wajibu wake ni upi na mwanamke ni nani na wajibu wake ni upi.
Penye maamuzi ya kike anatoa yeye na penye maamuz ya kiume anatoa anamwachia mwanaume.
Sasa hapo kwann nihangaike na elim makaratasi? Kuja kujaza nyodo tu.
 
Last edited by a moderator:
Leomimi kwa kusema haya hutakuwa totauti na mtoa mada, kwa kuzingatia maelezo yako,hata hawa wa 30 walipita kwenye 20+ kama alichafua akiwa katika hiyo age unadhani akifika 30+ ndo atakuwa msafi? Uchafu na uvivu ni hulka ya mtu.Kama hakujua kupika kuanzia miaka 10+ unafikiri akifika kwenye hiyo 30 ndo atajua?
 
Last edited by a moderator:

Ina maana kipindi cha miaka yako ya 20s uliyafanya haya uliyosema?
 





kwani mwanamke asiyeolewa ndio anatabia chafu?....sijaona mantiki ya hii thread...je kama hajampata anayempenda ndio kigezo cha kufika huo umri, ama malengo yake hakutaka aolewe chini ya hapo
 
Mmeona kinadada tu na wanaume wanazeeka bila kuoa hamuwaoni nao wanashida gani wale?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…