Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 21,854
- 26,093
Ilikuwa ni jana baada ya kurudi kazini, nikiwa nimejipumzisha ndani huku nikisoma magazeti mbalimbali kupata habari za huku na kule kwa undani zaidi, naweza kusema mahali ninapoishi pembeni kuna mti mkubwa wenye kivuli kizuri kweli basi akina dada na akina mama hupenda kutandika majamvi ili kufaidi hewa nzuri ipatikanayo hapo, fumba na kufumbua walianzisha topic yao,"Ya kwamba wanaume wengi ni wajinga ya kwamba wanafikiri kuingiza yote ndani ndio tunapata raha! hawajui kumbe huku nje nje ndiko kunapotupa raha na starehe">mwengine akadakia;- ata sielewi huko ndani sijui wanatafutaga nini? maana karibu wanaume wote kazi yao kuingiza tuu moja kwa moja! wapendwa uswahili kuna mambo!
Sasa kwa hawa dada zetu lipi jema tuwafanyie a-spot,g-spot or what?
Sasa kwa hawa dada zetu lipi jema tuwafanyie a-spot,g-spot or what?